Recent content by Leyaro

  1. Leyaro

    AG aunga mkono hoja za wabunge Pinda na mawaziri wajiuzuru

    ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda
  2. Leyaro

    Hivi kwa nini wanawake wanapenda sana kutoka na wanaume wanaofanya kazi bank?

    They feel so special wengi wao wanakosaga mabwana kwa kujiweka maisha ya juu sana wakati ni sawa na na manesi tu!! sema industry tofauti maana hadi jmosi wanapiga kazi..
  3. Leyaro

    Hivi kwa nini wanawake wanapenda sana kutoka na wanaume wanaofanya kazi bank?

    laki 6..ukikatwa PAYE, na NSSF inabaki kama laki 4, hajatoa daily transport (Daladala), bado misosi kwa mwenzi atabakiza ngapi? Niambieni mimi niliacha kazi hiyo sasa ninamiliki miradi mikubwa binafsi...ule ni utumwa!! @ Mkata Kiu
  4. Leyaro

    New couple! Announcement to all noticeboards !

    Anaewafunda yumo kwenye ndoa? Naomba kuuliza na kama alishakuwa na Ndoa...kaachika na anafundisha kilichomtoa yeye kwa ndoa ni nini? Naomba kuwasilisha!!
  5. Leyaro

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    Mmenikumbusha mbali sana! khaaaaaaa! Mipira ikiwa inachezwa usiku!!
  6. Leyaro

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    Wapi Tumbo Risasi wa kipindi cha majira!!
  7. Leyaro

    Tanzania ya enzi hizo katika picha

    Hahaaaa Aiseee Umenipeleka mbali ingawa sikuwa huko..napenda sana historia..
  8. Leyaro

    Wamama na mabinti wa siku hizi mnatabia mbaya sana!!!

    Utandawazi umetuharibu!! zamani hapakuwa na Utandawazi...Mzee anazalisha njee hujui washangaa kwenye kugawa mirathi ndio analetwa...Niwasifu tu ni kwamba walikuwa na siri kali!!
Back
Top Bottom