Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Dkt. Richard Muyungi (kulia) akipokea kitabu kutoka kwa Katibu Mkuu wa Kituo cha Ufuatiliaji wa masuala ya Kaboni kutoka nchini Djibouti (ASCR), Mhe. Balozi Ahmed Araita Ali walipokutana Dodoma, Machi 25, 2026.
Dodoma. Tanzania kupitia Kituo cha Taifa cha...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ametembelea kiwanja kinachotarajiwa kujengwa ofisi za Kanda ya Kati ya chama hicho kilichopo Kata ya Ipagala, Mtaa wa Ilazo jijini Dodoma.
Akizungumza katika eneo hilo, Heche amesema ofisi hiyo itakuwa makao makuu ndogo pamoja na ofisi nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.