Unafikir kuzaa n kama kutest engine ya gariii.[emoji19] [emoji19] [emoji19] kumbka ayo ndio maisha unayotaka kuyajaribu jaribu..na ukishazaa akakuna na mtoto wko...utakua umemkomoa nani[emoji19] [emoji19] [emoji124]
Kwani umezipokea izo laanaa??kwann utishwe na maneno ya watu yaitwayo laana eti kisa umesimamia jambo lililo sahihi...skia my...me npo tayar kumwacha ata mpenz wangu wamiaka mingi nyuma..kisa kuanza kuishi maisha ya ndoa kabla ya ndoa...coz kwangu lina uzito usio kifan...Fanya maombi...
Kwann kukimbilia chakula c chako??ckia mpnz wangu nkwambie..kuna muda na wkt wanandoa wanaona km wamechokana(zile hisia za mapenz mabichi km zlivyokua zaman znakua zmepungua kabsa kabsa)...ndio mana wengne hutoka nje ya ndoa ili kuitafuta ile radha ya mapenzi mabichi aliyokua akiipata...
Kwa kweli sijaelewa mana ukienda website nyingne ya NACTE kuna taarifa application ni march/April...majuzi nimefungua nimekutana na application zmetoka na deadline ni tarehe 6 mwezi wa 3...nmechanganyikiwa...niapply au nisubiri mwezi wa tatu..sielewi au huu ni Mtandao wezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.