Recent content by LEVEL

  1. LEVEL

    Kiwanja kinauzwa SINGIDA mjini

    bei gani sasa
  2. LEVEL

    Hapa moshi wapi naweza pata spare za honda ace 125

    naombeni msaada wa sehemu wanapouza vifaa vya honda kwa mji wa moshi kwa anayejua
  3. LEVEL

    Njia sahii ya kuendesha ndoa ni kidicteta au kidemokrasia

    moshi tena lazima uwe baunsa hahaha
  4. LEVEL

    Njia sahii ya kuendesha ndoa ni kidicteta au kidemokrasia

    tupeane ujuzi kidogo wanajukwaa kwa wazoefu wa haya mambo kwani nikikaa na watu walio oa wengine utawasikia kuwa hakuna ndoa ya democrasia inayodumu kwani wao wanaamini ndoa inaendeshwa kidicteta ila wengine wanaamini kuwa ndoa ni democrasia sasa upi ni ukweli wa kuendesha ndoa ni misingi gani...
  5. LEVEL

    Kwa nimjuavyo Ndugai, sidhani kama miaka mitano ya Bunge itaisha bila Bunge kuwa kituko

    ndugai hajakomaa kisiasa japo kakaa bungeni kwa muda sasa yule jamaa hana busara yupoyupo tu
  6. LEVEL

    Rais; Piga marufuku wadada kutupiga mizinga, Hapa kazi tu

    acha uoga ww toa ela cha msingi TRA inabidi watambue kuwa kuna mizinga watu wanapigwa ili waweke kodi ya mizinga kukuza pato la taifa
  7. LEVEL

    Hongera CCM kuitekeleza ilani ya UKAWA

    ila kama ataazingatia sera za vyama pinzani na kuchukua mambo muhimu yaliyotajwa yatamsaidia katika utendaji wake
  8. LEVEL

    Kero ya Rais kutumia barabara

    hahaha
  9. LEVEL

    Hongera CCM kuitekeleza ilani ya UKAWA

    kweli kabisa maguful ni mtanzania nimeamin ilo
  10. LEVEL

    Hongera CCM kuitekeleza ilani ya UKAWA

    Tangu mwaka 1961-2015, Jamuhuri ya muungano wa Tanzania ipo chini ya utawala wa chama cha mapinduzi, mwaka 1992; upinzani uliingia nchini japo miaka ya juzi tu wapinzani wameanza kupata nguvu kisiasa na hivyo kuweza kuumbua mambo mengi ambayo wananchi wengi tulikua hatuyajui wala kuyasikia, hadi...
  11. LEVEL

    Funzo kwa Lowassa: CHADEMA wameanza kumsahau Lowassa

    ndo tatizo la kutumwa kupost mambo ya ajabu humu ww umewahi kumsahau babako eti kisa kaachana na mamako acha upuuzi
  12. LEVEL

    Tathmini ya Migomo ya UKAWA Bungeni: Mingi ni Udaiji wa Madaraka tu!

    napata wasiwasi na uraia wa baadhi ya wanaoandika thread humo ni kweli kuwa ni watanzania halali au wanatumwa tu kupost upuuzi hapa, kama kweli ww mtoa post unaijua sheria usinge post ushuzi huu hapa sababu ukiangalia nchi nyingi za vyama vingi wenzetu wameenda mbali zaidi hadi kuzichapa live...
  13. LEVEL

    Mtazamo wangu kuhusu wabunge wa UKAWA Kuzomea bungeni

    ukawa wataendelea kudum ww na akili yako ndogo ya kuburuzwa utazidi kuburuzwa
Back
Top Bottom