Recent content by let the caged bird sings

  1. let the caged bird sings

    Iran imerudi enzi za Ujima: Hawana Air-Force hawana Navy na hawana Mifumo ya ulinzi wa anga

    kwani Somali pirates wana Navy?. wanachokifanya Iran ni kama hao Somali pirates tu wanatumia small fast-boats kutekeleza mashambulizi yao.
  2. let the caged bird sings

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    ilhali wanatumia mabilion ya $ kununua vifaa vya ulinzi na sio kununua makontena ya Uumu ili wanywe Wafe.
  3. let the caged bird sings

    Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    waislam wanaweza simama na Muhamad dhidi ya Allah if it were to happen kitu ka hiyo. ni kwamba; ni mara chache waislam wanaua kwasababu muhanga kamdhihaki Allah,ila mara nyingi wanaua kwasababu muhanga kamudhihaki Muhamad. rejea charlie Hebdo.
  4. let the caged bird sings

    FALSE Picha: Benjamin Netanyahu kwisha habari yake!

    Vijana wa madrasa baada ya kuona hii picha Meno 34 yote nje na takbiir nyingiii.
  5. let the caged bird sings

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    kutoka kusema: Israel haiwezi rusha hata Jiwe ndani ya Iran hadi kufikia kauli kama hii!. teh teh
  6. let the caged bird sings

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Awon oloriburuku Gbo Gbo. Mambo madogo kwa Mujibu wa nini?. mambo madogo kwa kipimo gani?. Umejuaje kuwa mimi kuandika Meri(badala ya meli) ni jambo dogo na sio kinyume chake?. umetumia kipimo gani, ili nijue kuwa kipimo hicho sio batili?. isije kuwa somo la kiswahili umelidogosha tu maksudi...
  7. let the caged bird sings

    Israel wanaficha lakini Iran wanaonesha... Hapo vipi?

    na tukionyesha mashaka na topic zenu mnasema tunapinga kwasababu hatuna Elimu ya Geopolitic.
  8. let the caged bird sings

    Israel wanaficha lakini Iran wanaonesha... Hapo vipi?

    Iran Kazuima internet.watu(wengi) hawana access na internet hivyo kuweza kupost kile kinatokea. ni kama vile ilitokeq 29 Tanzania. Israel internet ipo active na tunaona watu wakipiga picha ila ajabu dunia inalamishwa kuaminishwa kuwa yule aliyewasha internet nchini mwake ndiye anaficha habari...
  9. let the caged bird sings

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kuna mtu kasema" hakuna meri inayopita straight hormuz". mimi nikasema"meri zinapita" hata juzi zimepita nikatoa ushahidi na ushahidi hujaukataa kando na kuzalisha mengine bandia. aliyesema meri hazipiti hujamuomba ushahidi wala kumtaka akanushe madai yake na hujafanya hivyo si kwa bahati mbaya...
  10. let the caged bird sings

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Unajua kusoma kwa ufahamu?. unahitaji tarehe ili ikusahidie nini wakati habari inaongelea makadirio?. insu ni kwamba;meri zinazokatiza straight hormuz nimepungua kwa asilimia kubwa sana lakini bado zingine zinapita..siku haipiti bila Meri hata moja bila kupita.
  11. let the caged bird sings

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Aljazeera ni reputable kwa Mujibu wa nini ama nani?. unajua waandishi aljazeera waliwai ukumiwa kifungo Egypt kwa kosa la kuandika habari za uwongo..sasa wanakuwaje reputable ilhali Kuna tuhuma za waandishi wake kuandika habari za uwongo?
Back
Top Bottom