waislam wanaweza simama na Muhamad dhidi ya Allah if it were to happen kitu ka hiyo. ni kwamba; ni mara chache waislam wanaua kwasababu muhanga kamdhihaki Allah,ila mara nyingi wanaua kwasababu muhanga kamudhihaki Muhamad. rejea charlie Hebdo.
Awon oloriburuku Gbo Gbo.
Mambo madogo kwa Mujibu wa nini?.
mambo madogo kwa kipimo gani?.
Umejuaje kuwa mimi kuandika Meri(badala ya meli) ni jambo dogo na sio kinyume chake?.
umetumia kipimo gani, ili nijue kuwa kipimo hicho sio batili?.
isije kuwa somo la kiswahili umelidogosha tu maksudi...
Iran Kazuima internet.watu(wengi) hawana access na internet hivyo kuweza kupost kile kinatokea.
ni kama vile ilitokeq 29 Tanzania.
Israel internet ipo active na tunaona watu wakipiga picha ila ajabu dunia inalamishwa kuaminishwa kuwa yule aliyewasha internet nchini mwake ndiye anaficha habari...
Kuna mtu kasema" hakuna meri inayopita straight hormuz".
mimi nikasema"meri zinapita" hata juzi zimepita nikatoa ushahidi na ushahidi hujaukataa kando na kuzalisha mengine bandia.
aliyesema meri hazipiti hujamuomba ushahidi wala kumtaka akanushe madai yake na hujafanya hivyo si kwa bahati mbaya...
Unajua kusoma kwa ufahamu?.
unahitaji tarehe ili ikusahidie nini wakati habari inaongelea makadirio?.
insu ni kwamba;meri zinazokatiza straight hormuz nimepungua kwa asilimia kubwa sana lakini bado zingine zinapita..siku haipiti bila Meri hata moja bila kupita.
Aljazeera ni reputable kwa Mujibu wa nini ama nani?.
unajua waandishi aljazeera waliwai ukumiwa kifungo Egypt kwa kosa la kuandika habari za uwongo..sasa wanakuwaje reputable ilhali Kuna tuhuma za waandishi wake kuandika habari za uwongo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.