Lumumba,msomi,msomi kwa viwango vya kimataifa,mwana historia mbombezi na great thinker kweli kweli ila Pro Russia, huwa akifika kwenye Budapest memorandum anavaa Miwani ya Mbao.
Gross violation.
Kuteka.
Kutesa.
Kuua etc.
Inamaana kwamba uelewi kabisa ninachohoji?
Kwenye gross violation kuna kipengele cha maiti kutokukutwa na silaha?.
Evu nukuu sentence yoyote katika Statement ya Blinken ambayo ina maelezo kama yako then utakuwa umemaliza.
Rafiki,mimi sijadili atrocities za battalion hiyo inayotaka pigwa sanctions,mimi ninajadili vitu viwili hapa.
*Statement Blinken
*maelezo yako ya hawali kuwa kuna maiti hazikukutwa na silaha.
Maiti kutokukutwa na silaha ni ingizo lako katika Statement Blinken.
Katika hiyo Statement hakuna...
Gone those days Great thinker ndiyo walikuwa wanaanzisha mada na kuchangia wakati sisi vilaza tulibaki wasomaji tu.
Jf ilikuwa imejaa maarifa wakati huo.
DONDOO KATIKA SWALA ZIMA LA SANCTION DHIDI YA The Netzah Yehuda battalion.
Zingatia kuwa Sanctions hii sio kwa IDF nzima bali Battalion...
Wakristo (minority) Gaza na huo ukanda kwa jumla uwa unaelezewa na Progandalists kwa msisimko mkubwa sana kuliko hata wakati wakristo wakiwa majority.
Wakristo kuwepo hapo si Hisani ya Waarabu Waislamu,wapo hapo kwasababu ni kwao na waliwai kuwa majority hapo kabla ya uislamu.
Hadi karne...
Sijakukoti kwasababu ya kupinga Sanction ya Us Over jeshi la Israel,nimekukoti kupinga madai yako ya maiti kutokutwa na Silaha.
Sijui ulikusudia kusema nini uliposema "Maiti hazikukutwa na Silaha".
Kigezo cha maiti ni lazima ikutwe na Silaha ndiyo Marehem awe muharifu umejitungia wewe tu, Us...
Mashaka yako yananakuzwa na conspiracies zilizojaa kichwani mwako.
Hivi,ukimuona King Abdallah anakatibiana karibu kabisa na Rooney na Sio Muhammad Sahal.
Lakini hakuna siku mmesema Abdallah sio Semitic.
Ukweli unaweza ukawa si hivyo unaosimuliwa.
Ingia YouTube angalia tukio la yule Mtoto aliyekojolea msahafu,kuna dada anahojiwa katika hiyo clip juj ya chanzo cha vurugu hizo,huyo Dada anachokiongea sicho kabisa kilichokuja julikana baadae.
Wakati nakua kua, Mungu akitaka kumuathibu binti wa pale kijijni kwetu anamleta mikono mwagu.
I was too ruthless towards this Gender na ajabu hali hiyo ilinifanya niwe napata show za Bure toka kwao.
Vilio vilikuwa havikauki Ngwea kwangu hadi nikafukzwa home.
Hawa viumbe wanataka uwa...
Hakuna anaehitaji vita iwe Israel ama Iran kwasasa.
Ni ngumu kudhani kuwa Israel inahitaji kuanzisha Vita na Iran kwasasa wakati ambao wanavita nyingne na hamas. Iran nae hawezi thubutu kuishambulia Israel direct maana kufanya hivyo itakuwa ni mwanzo wa anguko la Utawala wao.
Is more likely...
Vitambi vya Beer ni tofauti na Vitambi vya burger along with Lishe Bora.
Angalia Wanajeshi wa Urusi na Ukraine ni mapande ya Majitu ila Wanajeshi wetu wanatia huruma.
Miili mikavu na vinavimba mtaani kinoma. vikiwa vinaendesha vi-IST vyao havifuati Sheria za Barabarani, full Ubabe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.