Recent content by lesomushi

  1. L

    Ukikutana na situation kama hii unatakiwa ufanyeje..?

    Kwanza kabisa zima gari,tulia kabisa tembo huwa ataki arufu ya mafuta ya gari,na ule moshi wa gari ndio hapendi kabisa,ndio maana unashauriwa kuzima gari.
  2. L

    Je, nimuache huyu msichana?

    Hukua unampenda huyu dada,kama unampenda kaka zake hata wakufanyie visa,huwezi kumuacha tena ukizingatia,huyo mpenzi wako sasaivi ni mgonjwa,tumia akili kijana kupenda sio mchezo,inahitaji kujitoa kwa shida na raha.
  3. L

    Mwenza wako anapokataa kufunga ndoa lakini anataka muendelee kuwa pamoja nini maana yake?

    Ndugu yangu,huyo sio mwanamke wa kuoa,inawezekana anayo mume mwingine,jamaa yako akienda kazini na yy anaenda kwa mume wake wa kweli,mwambie jamaa yako asimsogelee tena huyo dada.
  4. L

    Ajali yaua 29: Mabasi ya Kampuni moja ya City boy yagongana Singida, ni basi la Dar na Shinyanga

    Kwa kweli madereva wa Tz,masihara ya barabarani imezidi,N I T.pawe na madaktari wa kuwapima akili hawa madereva,nawapa pole wahanga wote wa ajali,na waliopoteza maisha Mungu azilaze roho zao mahali pema,wapumzike kwa amani.Amen
  5. L

    Hali ya Usalama Jijini Dar inazidi kuzorota, Vyombo vya Usalama vinafanya kazi gani?

    Bonde la mkwajuni,magomeni kwa Macheni hadi faya kuanzia saa 4 usiku sio pakutoa msaada wowote ukiwa peke yako ndugu,watakumaliza
  6. L

    Makapuku Forum

    YANGA USHINDI NI LAZIMA[emoji736]
  7. L

    Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Tizeba apelekwa Kilimo na Mifugo

    Hongera ndugu yetu,Mwigulu Mchemba kwa kuteuliwa kuwa waziri mambo ya ndani,tunaomba usimamie wizara kwa uweledi ulio nao,na urudishe imani kwa raia na polisi,komesha mauwaji ya raia na polisi na mauwaji ya polisi yanayo tokea kwa raia wasio waminifu,Mungu ibariki Tanzania.
  8. L

    Amuua mama yake mzazi na kumzika chini ya kitanda

    Inasikitisha sana,wala huyu mtuhumiwa inaonyesha wazi hakuwa amelewa,hakuna mlevi mwenye nguvu ya kuuwa na kuzika mwenyewe.
  9. L

    Polisi waanza kutekeleza adhabu "kali" kwa madereva wanaovamia barabara za mwendo kasi

    Jamani ni kweli madereva dar,tunahitaji kunyooshwa kidogo,unaweza kusimama kwenye zebra ya barabara kupisha waenda kwa miguu,dereva wa gari jingine anapita nakukuangalia vibaya sana.
Back
Top Bottom