Recent content by LESIRIAMU

  1. LESIRIAMU

    Waziri Makonda: Polisi Arusha kuwa Kivutio cha Watalii na watapewa Sare Maalum

    Halafu ana dhani sare zao ni kama yeye anavyo chaguliwa suti ya kuvaa yeye na mkswe. Hanui sare zao zilo kisheria.
  2. LESIRIAMU

    DOKEZO Mahakama chunguzeni rushwa mahakama ya mwanzo Arusha(Maromboso)

    Ni muda sasa nimekuwa nahudhuria kusikiliza kesi za ndugu/marafiki katika mahakama hii ya mwanzo Arusha maarufu kama Mahakama ya Maromboso, hasa kesi zinazo sikilizwa na mfawidhi wa hii mahakama (sito taja jina) Huyu bwana hata kama haki iko upande wako, usipo toa rushwa hakuna jinsi utashinda...
  3. LESIRIAMU

    Wafanyakazi wa Hoteli ya Lukuvi (GerWill) Waangua Vilio Vya Majonzi

    Wale ni wafanyakazi au ni watu wa kukodisha?? Soma nyakati mzee
  4. LESIRIAMU

    Hivi ile project ya Kilimo ya BBT iliishia wapi?

    Muulize Msomali
  5. LESIRIAMU

    Mahojiano ya Rostam na Tido Mhando ni maigizo kwa 100% (staged interview)

    Shida kuu tuliyo nayo kama nchi, ni kwamba Ccm wamesha tuona sisi watanzania ni maboya. Hivi Rostam ni mtu wa kusimama na kujitetea mbele ya uma wa watanzania? Haya ni matusi.. We need to act..
  6. LESIRIAMU

    GE2025 Hatua zisipochukuliwa kuna hatari siku ya uchaguzi ikawa siku ya aina yake. Watu hawatajitokeza kupiga Kura hasa maeneo ya mijini

    Kwao Sio tatizo maana Mr Slow amesha mwaga mboga kwamba, INEC, NIDA, na Ccm wamesha funga ndoa. Nyie msipo jitokeza wao wana tick size yao.
  7. LESIRIAMU

    GE2025 Nchimbi: CCM Itahakikisha Katiba Mpya inapatikana

    Ni kitu gani hasa kili washinda miaka yote hiyo ambacho sasa wako tayari kuachia katiba mpya? Wajinga ndio waliwao. Tume choka blablaa za mboga mboga
  8. LESIRIAMU

    GE2025 Kilosa - Morogoro: Wana-CCM wadaiwa kupata ajali wakiwa kwenye lori wakielekea kwenye mkutano wa Samia Suluhu

    Natamani kusikia taarifa nyingine kwamba wote wame kufa. Wana bebwaje kwenye malori kama kiti moto??? Kwa tulipo fikishwa na Ccm sioni sababu ya msingi ya watu kuendelea kuisaidia Ccm. Walio kufa ndugu zao wasidaiwe pesa za mortuary. Sera safi sana ya Ccm
  9. LESIRIAMU

    GE2025 Msigwa: Vyombo vya Habari vitoe nafasi kwa wagombea bila upendeleo

    Wagombea gani kwa mfano?? Hivi this time kuna kampeni? Maana naona kuna chama kime changanyikiwa hadi wana piga vijembe wale ambao wana jielewa na hawako kwenye uchaguzi. Ati mara mpira kwapani, mara tone tone wakati hicho chama kina jua kwanini hao wanao jielewa hawapo. Nyie endeleeni na mlio...
  10. LESIRIAMU

    Ukimsikiliza Polepole, lazima utajiuliza Vyombo vya Ulinzi na Usalama katika nchi vinafanya nini?

    Vyombo vya usalama niko busy na wapinzani na hasa Chadema. Juko kwingine hakuwahusu
  11. LESIRIAMU

    GE2025 Samia: Kuna jamaa zetu wametia mpira kwapani

    Tatizo kuu la huyu mgombea ndio hilo. Yaani hana mdomo wa uongozi, bali mdomo wa kwenye vigodoro. Kwamba sisi watanzania hatujui ni kwanini Chadema hawapo kwenye uchaguzi? Mbona kamuweka Lissu mahabusu? Angemuaxhia aone moto ambao ange pelekewa. Ccm acheni siasa nyepesi..
  12. LESIRIAMU

    GE2025 Ahadi za Mgombea Urais CCM, Samia Suluhu Hassan kwa siku 100 za kwanza za uongozi wake miaka mitano ijayo (2026 -2030)

    Kuna kitu hakiingii kwenye akili yangu. Sijui kama wewe una waelewe hawa Ccm. Nili tegemea waje waseme kwa zaidi ya miaka 60 mlio tupa ridhaa tume fanya a, b, c, d..... Lakini ati mtu bila aibu ana simama jukwaani na kusema siku 100 za kwanza nitafanya hili na lile.. Are they serious? Au ni...
  13. LESIRIAMU

    GE2025 Rais Samia: Tutapiga marufuku hospitali yoyote kuzuia miili ya marehemu kuchukuliwa na ndugu zao hata kama gharama za matibabu hazijalipwa

    Mama Tatizo sio maiti kukaa mortuary, tatizo letu ni amani na haki vitamalaki. Wasio julikana wajulikane, upendeleo iondoke. Mauaji ya kijinga yasiwepo. Kwani haya unayo yaongea hivi sasa miaka minne iliyo pita hii nchi ilikuwa mikononi mwa Chadema au ACT Wazalendo?? Tukubaliane tuu kwamba Ccm...
  14. LESIRIAMU

    GE2025 Mpina afika INEC kurejesha fomu ya Urais ila ameishia Getini

    Huo ndio uchaguzi wa haki na huru Ccm inayo uhubiri. Wapinzani nchi hii ni Chadema tuu. Wengine ni waganga njaa
Back
Top Bottom