Kuna kitu huwa nashindwa kuwaelewa hawa trafiki wa Arusha, barabara toka Sakina hadi Tengeru ni double road, na lengo la double road ni kupunguza foleni mijini, kwa kuruhusu magari kutembea,. Kwa trafiki wa Arusha ni kinyume, maana hujificha kwenye maua na kupiga touch ati speed limit ni 50...