Ni muda sasa nimekuwa nahudhuria kusikiliza kesi za ndugu/marafiki katika mahakama hii ya mwanzo Arusha maarufu kama Mahakama ya Maromboso, hasa kesi zinazo sikilizwa na mfawidhi wa hii mahakama (sito taja jina)
Huyu bwana hata kama haki iko upande wako, usipo toa rushwa hakuna jinsi utashinda...
Shida kuu tuliyo nayo kama nchi, ni kwamba Ccm wamesha tuona sisi watanzania ni maboya.
Hivi Rostam ni mtu wa kusimama na kujitetea mbele ya uma wa watanzania? Haya ni matusi.. We need to act..
Natamani kusikia taarifa nyingine kwamba wote wame kufa. Wana bebwaje kwenye malori kama kiti moto??? Kwa tulipo fikishwa na Ccm sioni sababu ya msingi ya watu kuendelea kuisaidia Ccm. Walio kufa ndugu zao wasidaiwe pesa za mortuary. Sera safi sana ya Ccm
Wagombea gani kwa mfano?? Hivi this time kuna kampeni? Maana naona kuna chama kime changanyikiwa hadi wana piga vijembe wale ambao wana jielewa na hawako kwenye uchaguzi. Ati mara mpira kwapani, mara tone tone wakati hicho chama kina jua kwanini hao wanao jielewa hawapo. Nyie endeleeni na mlio...
Tatizo kuu la huyu mgombea ndio hilo. Yaani hana mdomo wa uongozi, bali mdomo wa kwenye vigodoro.
Kwamba sisi watanzania hatujui ni kwanini Chadema hawapo kwenye uchaguzi? Mbona kamuweka Lissu mahabusu? Angemuaxhia aone moto ambao ange pelekewa.
Ccm acheni siasa nyepesi..
Kuna kitu hakiingii kwenye akili yangu. Sijui kama wewe una waelewe hawa Ccm.
Nili tegemea waje waseme kwa zaidi ya miaka 60 mlio tupa ridhaa tume fanya a, b, c, d..... Lakini ati mtu bila aibu ana simama jukwaani na kusema siku 100 za kwanza nitafanya hili na lile.. Are they serious? Au ni...
Mama
Tatizo sio maiti kukaa mortuary, tatizo letu ni amani na haki vitamalaki.
Wasio julikana wajulikane, upendeleo iondoke. Mauaji ya kijinga yasiwepo.
Kwani haya unayo yaongea hivi sasa miaka minne iliyo pita hii nchi ilikuwa mikononi mwa Chadema au ACT Wazalendo?? Tukubaliane tuu kwamba Ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.