hii wanajf.........hivi mwanamke kutoa uchafu ukeni ni ugonjwa? na je kama uchafu huo unanuka ni ugonjwa gani na nini chanzo cha huo ugonjwa................................................... zen mwanamke kuumia wakati wa sex ni ugonjwa au ni nini tatizo la hayo maumivu msaada plzz hvng gud...
kwaza za jioni.... naomba nisaidiwe nijue kama nimeshika mimba au laaaa...nimesex 31 juzi wthout kinga nina wasiwasi huenda nikawa na mimba mara ya mwisho kwenda period ilikuwa octor 16 mzunguko wangu ni wa siku 33 na sina permanent date ya p yang ninawasiwasi huenda nilipokea mimba naomba jf...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.