HILI JAMBO NI SAWA NA SUKARI KUZALISHWA KAGERA AFU KUPELEKWA DAR ES SALAAM KWA MKEMIA MKUU, KWA UKAGUZI THEN KULUDISHWA BUKOBA ILI IIUZWE KWANINI HUYO MKEMIA ASIPELEKWE PALIPO KIWANDA ILI KUEPUSHA HASARA KWA WAWEKEZAJI🤔🤔
Mkuu habari..na mimi nilikua nahitaj msaada KAMA TAJWA APO JUU nimehitimu 2024.Nipo na 25years old naishi nyamagana MWANZA ndani ya wiki hii ntakua tayari registered na leseni pia
Pia nilipata watu baadhi wakanimbia mjini unaweza part time katika dispensary private na kuuziwa shift za night ingawa sina uhakika katika hili..VP MKUU UNALIONGELEAJE HILI,🤔
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.