heradius12
Umechanganyikiwa na unawachefua watanzania kipindi hiki ambapo kila mtanzania mwenye akili nzuri anaunga mkono juhudi za serikali na wananchi kujenga uchumi ulio imara.
Ujinga na ulimbukeni wako kuwatajatajia vitu kama IMF vyenye rekodi chafu za ubepari ni kupoteza muda wako maana...
La msingi hapa kila mmoja ahukumiwe kwa makosa yake lakini siyo kufanya references za nani kafanya nini na kufanyiwa nini! Ni vema ukijua fulani kafanya kosa, mimi, wewe au ninyi tumchukulie hatua stahiki za kisheria na siyo kunyosheana vidole au kufanya makosa yaleyale waliyoyafanya wao. Huo...
Laiti kama Lissu angekuwa na hoja nzito yenye maslahi mapana kwa taifa tungemwelewa lakini bahati mbaya kazungumzia vitu vidogo sana ambavyo havionekani kuwa na impact hasi kwa taifa bali kwa yeye kuviibua anaincite chuki taifani pasipo sababu yoyote na huo ndio uchochezi anaodaiwa nao...
Hata kama siyo 2035 lakini angalau 2030 ili aweze kusimamia utekelezaji wa uchumi wa kati wa viwanda kabla ya kuingia katika awamu nyingine kisera. Ingawaje kwa kwa vipindi viwili viwili vya kikatiba akishafikia 2030 automatically huweza akaongoza hadi 2035 endapo kazi yake itaonekana nzuri bado.
Wakitaka kujitakasa wafuate masharti haya kujiunga na CCM:1. Wasafishe uvundo wa matusi, dharau na kejeli midomoni mwao.
2. Wajifunze kujenga hoja zenye maslahi mapana ya taifa kwa nguvu ya hoja na si kwa ubabe.
3. Wakome kuwa vibaraka vikaragosi wa mataifa ya kibepari.
4. Waachane na ukabila na...
Toka lini yeye Lissu na genge lake wakaacha kuwa wanafiki na kukosa uzalendo kwa nchi yetu?!
Mbona ni dhahiri wao huwatumikia mabepari na mafisadi wa nje? Huwa hamwoni muda wote wakijikomba kwao kupata support? Kwa wenye akili, busara na ufahamu huo ndio ukweli. Watafanya kila jitihada kuharibu...
Ripoti hizi mbili zina malengo tofauti kidogo ingawaje zote mbili makinikia na madini kwa jumla migodini.
Ya kwanza imelenga zaidi kwenye makinikia na kilichomo wakati ile ya pili imejikita zaidi kwenye madini kwa jumla migodini, thamani pamoja na mikataba kati ya wawekezaji na serikali.
Mwisho...
Diamond chini ya CCM na serikali yake amejipatia mabilioni. Atashindwa nini kulipa TRA mamilioni kujenga nchi yake kizalendo? Nani ajenge nchi kama si mimi, wewe na yeye?
Kimaro Mushi,
Dhahiri hujui siasa. Siasa za ugumugumu na kukakamaa kama hizi zako zimepitwa na wakati. Unaonesha waziwazi kwamba hata kama unadhani kwamba huna ukabila lakini kwa msimamo wako huo wewe ni mkabila tena wa kuogopwa kama ukoma!
Unatakiwa uwe na siasa za unyumbufu au flexibility...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.