Mmh mimi ndo sisemi tu hapo yaan cna hamu na hao binadamu waitwao wanaume... Hata umbebe mgongon asubuh na mchana atamuona mfupi atataka atest radha yake....wanakatisha tamaa hawa viumbe
Habar zenu..? Nahtaj rafiki wa kiume ambae yupo single kama mimi tuwe tunachart na if god wishes tuwe wapenz hatimae tuoane... Sihitaj kuwa diss appounted jaman
Habari zenu!! Mm ni binti nina 24 yrs nina tatizo la kusumbuliwa sana na tumbo wakati wa siku zangu nina mzunguko wa siku 28 na natoka damu siku 5 na siku zote hizo tumbo linaniuma balaa yaan hadi miguuni je dawa yake ni nn??
My dear kuwa makini juu ya uamuz wako mm yalishanikuta miaka miwili iliyopita na najuta mpaka leo coz nilimuacha alienipenda kwa sababu ya niliempenda naumia zaid kwa alienipenda mpaka leo amekuwa playet na niliempenda ckudum nae hata miez sita mbele so kuwa muangalifu.... Kumbuka maamuz yako ya...
Mwenzenu nina mpenzi lakini nikaja kugundua nina mwenzangu ambae walikuwa wote kwa muda mrefu lakini huyu mwanaume anasema eti hampendi yule mwanamke. Sasa nifanyeje maana anadai nimpe muda wa kumuacha.
Nipeni ushauri je nimpe huo muda au niachane nae??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.