Recent content by Leonard Mfalme

  1. L

    Maajabu ya Serikali ya Magufuli: Unaokoa milioni 200 za Rangi ya Ndege na kuisababishia Serikali hasara ya Bilion 200

    Na kweli huwezi kuwa mzalendo kwa upumbavu huu unaouandika utautolea wap uzalendo? mi nachoona we ni mmoja wa wapigaji uliyezibiwa mirija sasa unadhani na wenzako pia wanapiga. mzee tulia relax enjoy the show. utafurahi mwenyewe bado six years ndio amalize muda wake povu litakutoka sana
  2. L

    CCM itaondoka madarakani

    mawazo finyu yaan hili la Algeria na Sudan limewatia ndimu mmesahau wale wamekaa si chini ya miaka 30. Rais MAGUFULI ndio kwanza ana miaka minne kwenye Chama Giant kinachojielewa ambacho wanapokezana madaraka. Mtasubiri sana labda 50 years to come ndio mjaribu bahati yenu
  3. L

    Joshua Nassari avuliwa Ubunge wa Arumeru Mashariki kwa “Utoro” Bungeni

    Ignorance of Law is not an excuse .....
  4. L

    Joshua Nassari avuliwa Ubunge wa Arumeru Mashariki kwa “Utoro” Bungeni

    Imenilazimu kuandika andiko hili baada ya kusoma barua ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Job Y Ndugai,juu ya kutenguliwa kwa nafasi ya ubunge kwa aliyekuwa mbunge wa Arumeru-Mashariki. Sababu aliyoainisha Spika kwenye barua ni utoro wa vikao vya bunge kwa Bw Nassari. Hapa...
  5. L

    Joshua Nassari avuliwa Ubunge wa Arumeru Mashariki kwa “Utoro” Bungeni

    Naamini kwa muda aliokaa bungeni anajua procedures za kufuatwa akiwa na udhuru, sidhani kama pregnancy ni emergence that warranted him to send an email to the office of the speaker rather than following the normal channel of communication
  6. L

    Mbowe na Matiko kuzungumza na Watanzania kupitia Wanahabari Golden Tulip Hotel 15 march 2019

    wazungumze juu ya umuhimu wa viongozi wa siasa kuwa mfano bora kwa wananchi, na sio kuandamana kila siku bila mipango ya kujenga uchumi
  7. L

    Zitto: Shida sio mabeberu shida ni watawala kwa miaka 2 tumepoteza $250m za mbaazi na $500m za korosho, tumenunua ndege imelala

    zitto kabwe siku hizi unazidi kupoteza uelekeo hadi 2020 utakuwa umemalizika kabsa kisiasa na sidhani km utarudi bungeni wewe kwa akili zako hizo ndogo za sasa.
  8. L

    Tundu Lissu ni hazina kwa taifa, upungufu wake ni huu

    Hakuna kiongozi na ambae sio mzalendo na mwenye nia mbaya ya kuleta machafuko kama tundu lissu, labda hazina kwa serikali ya mashoga na sio kwa nchi.
  9. L

    Sera Mbadala ndiyo slogan yetu ya uchaguzi 2020

    mtaishia hivovhivo na maneno yenu ya kijinga, ikulu sio sehemu rahisi ya kuingia wajinga kama nyie 2020 magufuli anapita bila kupingwa.
  10. L

    Kuna unyang'anyi wa kidola unaendelea Tanzania

    Mtoa mada anaonekana kuwa hana upeo mkubwa wa uelewa na anatutaka nasi kushabikia propaganda zake zisizo mshiko,wala ushahidi wowote,inaoneka kama vile anataka kuwatisha baadhi ya wajasiliamali wawe na wasiwasi na serikali yao, hizi habari inaonekana dhahiri kuwa ni za kutungwa na ndio maana...
  11. L

    Askofu Benson Bagonza (PhD): Mandela na Mbowe ni sawa, maana mbinu alizoshugulikiwa nazo Mandela na Wakoloni ndio Mbowe anashugulikiwa nazo

    wewe sio askofu kweli bali unatumiwa wewe na usipoangalia utapotea kwa ujinga wako
  12. L

    Bernard Membe kajiharibia sana. Angekaa kimya mpaka 2025, umri unamtupa kulingana na Katiba?

    kama kweli huyu membe nia yake kugombania urais 2020 hana nafasi kabisa yakupita ndani ya ccm labda apeleke hela zake kwa wale wafanyabiashara na walaji chadema na huko pia magufuli atamshinda vibaya mno, membe hatahivyo ni mpigaji tu.
  13. L

    Mdude Nyagali: Mnanunua ndege kwa pesa taslimu halafu mnaenda kukopa dawa za binadam Bohari Kuu. Tukiwambia mnavuta bangi bila malengo mnalalamika

    wewe siku zote nakuambia kuwa wewe ni mwendawazimu unapost vitu bila kutumia akili mjinga wewe,elewa kuwa bohari kuu ni serikali na ndege pia ni serikali na serikali haijashindwa kabisa kulipa deni bohari mkuu
  14. L

    Ni wakati sasa tupate mrejesho wa tulipofikia sakata la korosho

    Kwani hadi sasa umesikia malalamiko yoyote kwa wakulima.Acha kick bwana
Back
Top Bottom