Recent content by leonard kamalamo

  1. leonard kamalamo

    JamiiForums Tanzania CCM na Project yao na ‘LUCY Mkatoliki’ bado hawajakoma. Wasikilize tena

    Dada hivi kweli unajitambua?Mimi mkatoliki,Ila sikuungi mkono hata nukta Moja,unajitafutia laana ambayo utakuja kujuta. Kanisa Catholic ni kanisa lililojengwa juu ya Mwamba, Wala milango ya kuzimu haitalishinda Ni
  2. leonard kamalamo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia akiapishwa Urais aongoze nchi bila kuwabembeleza Watanzania wala kuwapa Uhuru Uliopitiliza

    Hayo ni mawazo yako. Nchi inapaswa kuongozwa kwa mujibu wa katiba na sheria na si mawazo ya mtu kama unavyopendejeza wewe
  3. leonard kamalamo

    JamiiForums Tanzania StarTV yakatisha matangazo ya BBC Swahili baada ya mtangazaji kusoma kichwa cha habari

    Kwa tunao amini tusome ZABURI 109 na ZABURI 35
  4. leonard kamalamo

    JamiiForums Tanzania I wonder if you actually think they will hesitate to do it ? Tundu Lissu atanyongwa !

    Hakika Hakika maombi ya ZABURI 109 haitamuacha salama ntu yeyote atakae muonea mwanchi kwa hila
  5. leonard kamalamo

    JamiiForums Tanzania I wonder if you actually think they will hesitate to do it ? Tundu Lissu atanyongwa !

    ZABURI 109 na ZABURI 35 inawahusu wote wanaostahili
  6. leonard kamalamo

    JamiiForums Tanzania BBC yarusha habari kuhusu wakosoaji wa Serikali wanaotekwa, kupotea au kuuawa

    ZABURI 109 NA 35 HAKIKA HAWATAPONA
  7. leonard kamalamo

    JamiiForums Tanzania BBC yarusha habari kuhusu wakosoaji wa Serikali wanaotekwa, kupotea au kuuawa

    Sala yetu iwe ZABURI 109 na 35 kwa ajili ya watesi na wote wanaotudharau Watanzania
  8. leonard kamalamo

    JamiiForums Tanzania Napendekeza njia Bora ya kuwaangamiza Wanamtandao

    They think that they living in heaven.but they living in hell,time alone will tell
  9. leonard kamalamo

    JamiiForums Tanzania Kamwaga atembelea Ubalozi wa Cuba kuhakiki bei ya Gesi

    Nina hakika kama kungekuwa na ongezeko la bei tofauti na taarifa ya Pole pole kusingekuwa na muda huo wa kuchakata.
  10. leonard kamalamo

    JamiiForums Tanzania Japan kujenga miji minne kwa ajili ya Waafrika kutoka nchi nne kwenda kuishi: Tanzania ikiwemo

    Ni miaka mitano tu watakuwa wameharibu miundo mbinu yote.vyoo ndiyo usiseme
  11. leonard kamalamo

    JamiiForums Tanzania Mchepuko akatalia kwangu. Nifanyaje wadau?

    Umechelewa kuomba ushauri.ungeomba ushauri kabla ya mkasa.sasa yanakukuta ya mtema kuni. Maana ya mtema kuni. Kuna mtu alikuwa akikata kuni msituni.katika kusaka kuni akakutana na bibi kizee ambaye alikuwa anataka kuvuka mto lakini akashindwa,kwa huruma ya yule mtema kuni akajidai mwema...
Back
Top Bottom