Hahaha.
Sasa hao wenye Ideas wataongozwaje na vilaza? Mi naamini mkoloni alitutawala kwa kua alituzidi Ideas ndio maana tulifanya butter trade dhahabu na gor/loli.
Isijefika tukaanza kurecord Sala/Swala/Maombi ktk Simu au Computer yawe yanaji-Play automatically nyakati husika ili kusiwe na haja ya kwenda kanisani au msikitini .
* Kila Jambo na taratibu zake. imeandikwa Mambo yafanyike hivyo FULL STOP.*
Vinakua hai tena vikipata host (mfano damu) kwa hiyo ukijikata na wembe wa muathirika lazima uwe na wenge hapo vile vijidudu having totally Kama mende namshauri akapime kujiridhisha.
NI kujiongeza tu; zipo kazi/shughuli nyingi za kujiongezea/kupata kipato badala ya kuwa na matumaini hewa yaliojengwa na ahadi hewa kwamba ipo siku isiyojulikana Watumishi watakua na maisha safiiiii.
Basi at least Wabunge wote wawe angalau na 1st degree maana HUKU kujua (a e i o u ) (kusoma,kuandika) tu, kwa Dunia ya sasa hapana tubadili sheria ili ndioooooooo ziwe ndio zisizokua na Shaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.