kama wataipitia hii post. Jimbo LA masasi ni CUF wenye fursa kubwa zaidi japo chadema ilishinda sana serikali za mitaa. wakiwaachia NLD Jimbo Hilo WAMEPOTEZA!!!
pia Jimbo LA Ndanda mariam kasembe hawamtaki wa ccm, mpinzani wake anayependwa na wananchi kaenda chadema tayar na akipitishwa...
hivi kwanini unalazimika kumlisha Dr. slaa maneno unayotaka wewe!!?
Dr. huwa yuko open sana wala haitaj reporter kumsemea jf hapa. mwacheni pliz kama ana ishu ya kuisema ataisema openly.na pia anaweza asiamue kusema lolote, yote ni sawa tu ni haki yake.
acheni propaganda hizo. mnatuletea hadith za mwaka 54 kuna kijana gani wa 2015 anaezitaka hizo hekaya. habari hizo kawasimulie kina mzee mwinyi, msekwa, nadhan itawakumbusha ujanani kwao. we want to make our own history.
msitishe watu, mnasema Mna maarifa ya kushinda!! funny! sis hatuhitaji...
kuna mijadala huwa naona raha sana ninapoisoma na vile inavochangiwa na wadau. huu ni mmoja wapo. a very good analysis and contributions ukiondoa mlevi mmoja alocomment ati tulikolala ndo walikoamkia wao ccm
unaposema haijawah kutokea mtu akapata uanachama kwenye chama kikuu cha upinzani na akapewa kugombea uraisi, kwa maelezo yako ni kwamba haijawah kutokea hvo popote duniani.
sasa ndio hvo imetokea Tanzania mwaka huu, sehemu nyingine watafanya reference kwamba hata Tanzania iliwah kutokea. yani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.