Jaman naombeni msaada nasumbuliwa na tumbo yani linanyonga km dk 5 afu linaacha nikikaa kidogo linaanza tena yani hii ni wiki ya 3 tumbo linafanya ivo msaada pls
Habari,
Naomba msaada jamani, mimi nina matatizo huwa naumwa tumbo tarehe 25 la blidi alafu blidi yenyewe naweza kuja kuingia kuanzia tarehe 6 alafu tarehe zinabadilika badilika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.