Recent content by Lemonkezye

  1. L

    mtoto wa maskini asitisha masomo chuo kikuu Dar na kuingia mtaani kusaka 60% kisa....

    Naomba ufafanuzi hiyo 60% ndio pesa ngapi, na nikitaka kuwasiliana na huyo mwanafunzi anapatikanaje?
  2. L

    Lyrics za nyimbo za kiswahili

    Nauliza nani anajua wimbo wa Mariam na selemani uliimbwa na bendi gani? nitaupata wapi .Nakumbuka majibu mariam akiuliza ' yapata mwaka na nusu hajasikia lolote kutoka kwa mchumba selemani aliyekwenda mjini kutafuta kazi.selemani alimjibu Mariam" kusema kweli nimekutwa na mambo ya mjini"
  3. L

    Love vs Sex

    ....Nakubaliana na vishawishi lakini ukidokoa mboga baada ya kula ni lazima ufute mdomo.
  4. L

    TANZIA Ukiwaona Ditopile afariki dunia

    RIP Ditto, Bwana alitoa na Bwana ametwaa
Back
Top Bottom