Nadhani mengi ya design hiyo ni matangazo yapo ndani ya browser unayotumia wanayaweka kutrack taarifa zako muhimu huwezi kushinda chochote. By the way, hao sio Vodacom na unaeza ambiwa zawadi kutoka google pia huwa sio official kutoka google kwahiyo uwe unapotezea
Ukitafta ww ni kazi sana kupata hadi aione mtu alie na iyo nafasi. Lakini kwa wabaofatilia kazi zinazokua posted, wanapata bila shida hivo soma sana zinazowekwa ukiiona inayoendana na ww ndio uifatilie kwa makini ila hii ya kupost CV yako hadi apatikane msamalia mwema ndio utapata
Sometimes wanawake hawaeleweki mnakua nae anaelew kila kitu kuhusu ww na kipato chako lkn atakwambia anataka kitu ambacho ana uhakika huwez kuki-afford na ukimwambia haiwezekan asubir mjipange haelewagi yan atasumbua hadi unaanza kumchukia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.