Je, ni kweli Vodacom wanatoa hizi zawadi?

curtis jr2

JF-Expert Member
Dec 22, 2016
756
4,589
Kuna mambo tumekuwa tukikutana nayo kwenye Internet kupitia vifaa vyetu, kama Simu Tablets, na Computer, unakutana na Notification inayosema hongera umejishindia Mf, Simu au Tv, n.k

Nam naomba kuuliza ulipokutana na kitu cha hivi ulifanya nini, na je ni kweli huwa wanatoa hizo zawadi kuna mtu humu aliwahi kupata hiyo zawadi, na kama ulipata ulipata kwa njia gani, au pia kama sio kweli ina maana hawa watu wa mitandao wanatuona sisi malofa.

Screenshot_20210125-231335_1.jpg
 
Nadhani mengi ya design hiyo ni matangazo yapo ndani ya browser unayotumia wanayaweka kutrack taarifa zako muhimu huwezi kushinda chochote. By the way, hao sio Vodacom na unaeza ambiwa zawadi kutoka google pia huwa sio official kutoka google kwahiyo uwe unapotezea
 
Ao ni wazee wakutuma $1 ili kuhakiki kama niwewe sasa katika watu 1000 wataokutana na Tangazo ilo kuna mafala kama 500 lazima yatatuma $1 aaf jamaa kimoymoyo linacheka uku likiwithdraw na kuelekea Bar kutafuna Faru john na Supu ya kongoro na limao kwa mbaaali
 
Back
Top Bottom