Recent content by lemky

  1. L

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu injini za magari madogo na pickup zinazotumia Petroli

    Naombeni msaada viongozi.. Pikipiki aina ya Yamaha na tatizo la kuzima likiwa kwenye mwendo na baada ya injini kupoa ndio unaweza kuliwasha. Linaweza kuwa ni tataizo gani ??
  2. L

    JamiiForums Tanzania Msaada wa matengenezo wa komputa

    Sawa kiongozi
  3. L

    JamiiForums Tanzania Msaada wa matengenezo wa komputa

    Sawa mkuu ,, ngoja tuangalie hili la CMOS battery ,,, maana kila aina ya setting imekataa ...
  4. L

    JamiiForums Tanzania Msaada wa matengenezo wa komputa

    Nina komputa ya HP (desktop) inasumbua kuapdate tarehe na saa , lakini ukiiunganisha ni intaneti hua inajiapdate bila ya hivyo unatakiwa kila unapoiwasha uirekebishe mwenyewe. Naombeni msaada wa hili tatizo wakuu.
  5. L

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, tochi za barabarani zimeanza kuwa kero tena

    Ahsante mkuu ,, na kwenye suala la speed kinarecord kivp mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. L

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene, tochi za barabarani zimeanza kuwa kero tena

    Kiongozi hiyo camera na record inafanyaje kazi na kuupata ushahidi wake Sent using Jamii Forums mobile app
  7. L

    JamiiForums Tanzania Unahitaji spare kwa ajili ya gari lako? Usiache kupitia huu uzi

    Mkuu naulizia Head lamp ya Subaru Impreza Sports ya 2012, model DBA - GP7, ni kiasi gani ?
  8. L

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya Oven na Cooker

    Ahsante mkuu
  9. L

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya Oven na Cooker

    Sawa mkuu,
  10. L

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya Oven na Cooker

    Sawa, vipi kuhusu ndani?
  11. L

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya Oven na Cooker

    Samahani mkuu sijakufahamu hapo
  12. L

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya Oven na Cooker

    Wataalamu, watumiaji na mafundi. Nahitaji kuelewa kati ya jiko (oven/cooker) la GESI au UMEME lipi ni zuri kwa matumizi ya nyumbani? Mfano wa cooker/oven Liwe la gesi lote, yaani juu na ndani, au Liwe juu gesi ndani meme.
  13. L

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kutatua tatizo hili la friji (freeza)

    Kiongozi, hizo coil ndio hiyo hiyo condenser ama ni zipi, maana alikuja fundi akajaza gesi na friji limekuwa poa sana, lakini akaniambia likivuja tena nibadili condenser...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kutatua tatizo hili la friji (freeza)

    The Genius, Ahsante kwa ushauri mkuu, wacha niyafanyie kazi
  15. L

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa kutatua tatizo hili la friji (freeza)

    Naombeni msaada wenu wakuu, Nina friji/friza used kutoka UK, nimelitumia kwa takribani miaka 3 sasa na lilikuwa vizuri zaida ya jipya. Lakini siku chache lilianza kupoteza nguvu ya uwezo wake wa kugandisha na kupooza maji, nilipomuita fundi akaniambia gesi imepungua, aliweka gesi na kuondoka...
Back
Top Bottom