Kweli kabisa, niujinga ulio pitiliza kushukuru mtu anae tekeleza majukumu yake kwa fedha za umma. Mambo mengine yangepaswa kukamilika ndani ya miaka 19 tu baada ya Uhuru
Kweli hawa TANESCO akili zao zinawatosha wenyewe. Yaani kutokuwepo na mgao wa umeme miaka sita ya JPM hapakuwa na mgao wa umeme, baada ya kufariki maji ya mvua yakabadili uelekeo nje ya mabwawa ya uzalishaji umeme! Stupid kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.