Ila always shabiki Wa ccm hawawezi kupanua akili na kuona mbele mpaka lini mtachangia hoja kwa vijimbe fungukeni hii nchi isingefika hapa ilipo sasa endapo mngekuwa na akili za kufikiri kama za magofuli sasa mpaka umu ccm mmejaa upumbavu akilini
Kwanini rais mstaafu hatoi nafasi kwa Magufuli kuwa Mwenyekiti Wa CCM he huu sio uchu Wa madaraka nakutaka kumuamulia rais na kumfanya rais asiwe na ksuli yoyote ndani ya chama je wanachama Wa ccm watabadilika ikiwa Mwenyekiti ni kikwete yule aliyeivuruga nchi na wanaccm kuona ili taifa ni Mali...
Ushuru mkubwa Wa bandari na Kofi kubwa ni tatizo kubwa la kitaifa hasa kwa wafanya biashara wadogo wajuzi wanao tamani kuuza bidhaa zao nje ya nchi ama kuleta ndani ya nchi Kodi nitatizo kubwa ushuru nitatizo kubwa mambo haya mawili humnyima fursa mtanzania mfanya biashara kufikia medani za...
Kwanini kiongozi mkuu Wa asemewe na Ndugu zake ilihali yeye yupo kwanini mkuu wetu Wa jeshi asijitokeze adharani kutoa hii sintofahamu ya wananchi na minongono inayoendelea kila kona ya nchi yetu ikiwa yupo atoke aondoe huu uzushi ama aseme ata kwa njia ya sauti kwani teknolojia imekuwa sana...
Hahahahaha nilizani umu kuna ccm mwenye akili timamu katika kuangalia kwenye dirisha la chumbani kwangu nikagundua nimazombie yamevamia Jf kwa binadamu wenye akili hahaha mnavamia vampire etie nyie zombie's Wa ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.