Recent content by Lema Jackson

  1. Lema Jackson

    Mmempa Achume - Nicco ye Mbajo na uhalisia wake siasa za Tanzania

    Nico ye Mbajo alikuwa mwalimu wangu wa kwaya pale kariakoo Lutheran sijui yuko wapi sasa hivi ni miaka mingi sana
  2. Lema Jackson

    Rais Magufuli afanya mabadiliko: Amteua Ally Hapi kuwa RC Iringa; Jokate, Jerry Muro, Katambi wawa Wakuu wa Wilaya

    Nimefurahi sana Jerry Muro kuteuliwa,kuna Josephine Matiro ni mkuu wa wilaya somewhere, hao wote nimesoma nao wanatoka kijiji kimoja,hongereni sana
  3. Lema Jackson

    Nilichokiona ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Rais Magufuli hongera sana

    Nilifika ubalozini hapo kwa ajili ya kupata huduma kama mtanzania,kwa kweli nilishangazwa jinsi huduma zilivyobadilika unafika unakaribishwa vizuri na wafanyakazi wa pale unaulizwa kama unapendelea kahawa au chai kwa heshima kabisa,tumepata huduma nzuri tumehudumiwa na kuaga na kuondoka huku...
  4. Lema Jackson

    Dish Installer Accredited

    TV Dish installer accredited,how to get it please
  5. Lema Jackson

    Nafasi za Kazi Afrika Kusini

    mimi mgeni sana hapa,naomba tuma cv MR BujiBuji
  6. Lema Jackson

    Nafasi za Kazi Afrika Kusini

    Kampuni yetu imeingia mkataba na serikali ya Africa Kusini tunaitaji watanzania watano kwa ajili ya training of Microsoft product wanaopenda kuchukua opportunity tafadhali tuma cv kwa contact details zifuatazo: email lema.jackson@gmail.com cell/whatsapp 0267 73094679 Botswana kwa...
Back
Top Bottom