DIASPORA account $ to $
3 months of account opening request tena kwa mbinde.
Sijawahi kukutana na upuuzi wa namna hii.
Mpaka kupeana ahadi za kupelekana kwenye sheria ndipo wakafungua account
Mara ya kwanza kufanya deposit ya $50 tu for a start as a trial, nikapigwa.
(Imani yangu ilikua na...
Hii ni tamaduni ya mtanzania.
Kama hili ni tatizo na tunakemea Basi nchi nzima ina shida.(asilimia kubwa)
Ndio mana kasi ya maendeleo kwa vijana wengi iko low pace.
Kikubwa hapa umeongelea tabia za wengi hapa.
Ujasiri wako tu ndio ushindi.
Na hakuna aliyekupongeza kwa Hilo.
Tumia uo ujasiri...
WATANZANIA TUSITUMIE NENO HILO WAKATI TUKIJUA WAZI HALINA UHALISIA
Sababu zangu kusema hivi ni sehem kuu 1 (kwa Leo)
1/ USALAMA BARABARANI
Najua wengi tunafaham kuhusu hili suala.
Ajali nyingi zinatokea na zitaendelea
kwasababu ya ufinyu wa elim/ufaham na uwajibikaji/UWAJIBISHWAJI.
Nimeweka...
Nilitegemea kuona mawazo ya ubishi lakini yote sawa ni kawaida ya Mtanzania.
Kuhusu vishoka nalijua Hilo.
Mpaka nikalileta hapa mtambue nimeona umuhim wake.
Lakini wengi apa naona wanajua kuna utapeli na wamekubali kua ndio life style/mazoea.
Lolote kubadilika katika jamii linaanzia kwa mtu...
Imenikuta.
Na lazma niliweke wazi kwa wengine isiwapate kirahisi.
Nianze na ushauri
•Hakikisha uko na ticket yako mapema kabla ya saa ya safari.
•Hakikisha gharama uliyotoa ni sawa na iliyoandikwa kwenye ticket (kabla hujaondoka dirishani/counter)
Kwanini na jinsi gaki wanakuibia...
Sijajua hapa dharau imeingia wapi!
Lakini naona utakua ni fundi.
Mpaka nahitaji ushauri sidhani Kama dharau imehusishwa hapa.
Naamini hakuna anaejua bishara bila kuhusisha mlinganisho wa gharama.
Bahili hawezi anza real estate.
Mimi nimeshaanza. (Umeona utofauti?)
Asante kwa muda wako kijana.
Habari..!
Nimeingia kwenye real estate mwaka huu.
Naamini wengi wenye ujuzi mtanielewesha juu ya hili.
Nina property moja imenipatia ukakasi sana hasa upande wa ufundi.
Kila nikihitaji fundi aje kunipatia gharama yake ya ufundi na mahitaji ya kazi Basi inanilazimu nimlipe.
YANI YEYE AJE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.