kama ningekua mm ningeogopa nn au nan kushindwa kuuliza? wamepita wengi tu hapa wamechungulia wametulia nyie ndo mnajifanya kila kitu lazima mchangie! kwanza inaonekana hamna chochote mnachojua, mtu anaejua jambo haangalii nani alietoa maada bali anaangalia mada! nendeni mkanye mkalale!
Kuna ndugu yangu kapewa taarifa ya kuhudhulia ktk interview ya nafasi ya Meneja wa SACCOS moja hapa dsm, naombeni mnipe kile kinachoweza kuulizwa kwenye hiyo interview wadau! pls pita kimya kama huna msaada.
mdau nimechelewa sana kuona post yako, nina maelezo mazuri kuhusu kufungua agency ya bima, cz nina dream kama zako na kama isingekua suala la mtaji basi ni siku nyingi ningeshafungua. naomba nitupie email kwa houlier1984@gmail.com then nitakupa no yangu ya simu kwa mawasiliano zaidi.
naamini kwenye forum hii kikubwa utakachopata ni ushauri zaidi kuliko kupatiwa kazi, ukijaribu kufuatilia sana hapa utaona wengi ni wetu ni job seekers na tunajaribu sana kusaidiana kwa kupeana habari na ushauri wa jinsi kupata ajira kama vile kuitwa, maswali etc kuhusu interviews. Usimsahau...
kwani wakati ana apply uhamiaji alikua anafikiria nn kama angepata? nikifikiria watu waliowagwa huko uhamiaji ambao wako mitaani alafu ww una kazi na unawazibia majobless chance then eti unataka ushauri,hicho kidogo ulichonacho wengi hawana, ifike muda ss nafasi zinaztangazwa ziwaexclude ambao...
kwani wakati ana apply uhamiaji alikua anafikiria nn kama angepata? nikifikiria watu waliowagwa huko uhamiaji ambao wako mitaani alafu ww una kazi na unawazibia majobless chance then eti unataka ushauri,hicho kidogo ulichonacho wengi hawana, ifike muda ss nafasi zinaztangazwa ziwaexclude ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.