Leo nilishawishika kufungua website ya Arusha City Council kwaajili ya kupata taarifa za msingi hasa kuhusu kata na idadi ya watu na ikiwezekana majina ya viongozi wa sasa; kilichonishangaza ni aina ya taarifa nilizokutana nazo kama ifuatavyo;
Kuna taarifa ambazo ni irrelevant
Data ambazo...
Katika kutafakari habari za matokeo ya serikali za mitaa rafiki yangu mmoja amenieleza kwanini CCM imeanza kupoteza na kwamba itaendelea kupoteza siku zijazo...ametoa mfano ufuatao:
kati Baba anaendesha Hummer amevaa mikufu ya dhahabu halafu amebeba watoto wake wenye kwashokoo kuwapeleka...
Tanzania inahitiji watu wenye mawazo mmbadala kwenye serikali na hata kwenye vyama vya kisiasa! najaribu kumfikiria Paul Makonda kumfanyia fujo Judge Warioba kwa kauli moja nasema siyo sawa...kwanza makonda ni mtoto mdogo haifai yeye kumfanyia vurugu Mzee Warioba, pili CCM inajinsibu kuwa Nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.