Kinachowasumbua wengi kupata majibu mazuri kwenye AI yoyote Ile ni poor prompting.watu wanaandika short prompt,unclear prompt alafu wanakuja kulalamika kuwa baadhi ya AI hazina majibu sahihi .
1 First of all master prompting
2 jua strength ya AI IPO wapi kila AI chat ot in strength sehemu Fulani...
Watoto wa siku hizi kuwanyima kutumia simu ni ngumu sana hoja ya msingi ni nanna gani unaweza kucontrol namna gani watoto wetu wanatumia simu Kama kuset parental control kwenye simu
sitetei ccm lakini kwa dunia ya sasa demokrasia pamoja na human rights vimeleta uharibifu sana ndo maana hata LGBTQ communities zinaexit na zimeanza kwenye nchi ambazo tunaona ni role modal kwa demokrasia
Baada tu ya bunge kuvunjwa NO REFORM NO ELECTION kuna namna inakosa nguvu sitashangaa kuona CHADEMA wakishiriki uchaguzi japo sina uhakika na chanzo cha habari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.