Halo, inasikitisha sana, kila nikipita pale General tyre roho inauma sana nikisogea mbele nakutana na Fibre Board, nakumbuka ABB Tanelec, TEMDO, NMC (unga ltd),TFA,ACU,TPRI na vingine. Ndugu na jamaa zetu wengi zamani walikuwa wanafanya kazi humo, ajira zilikuwepo. Wakati tunaenda shule asubuhi...