Kwa upande wangu nilitumia sana dawa za hospitali lakini kiukweli ilikuwa nikama zinatuliza kwa muda..
Jambo lililofanya ni kuepuka kitu chochote ambacho ni kila .. kinafanya kuamsha vidonda tumbo...
Kwa mfano dagaa..ni mwaka wa nne sasa situmii.. na vinginevyo..
Habarini ndugu, jamaa na marafiki.
Mimi ni mwalimu wa Chemistry na Biology. Nina uwezo wa kufundisha primary, secondary na advanced level. Nipo mbeya.
Please mwenye kujua shule yenye uhitaji au connection anijulishe.
Namba ya simu: 0766698323
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.