Watanzania wenzangu nawaomba tusijikite katika UKENYA na UTANZANIA...Tutajikuta tunaiga tabia ya wenzetu ya umimi...hvyo tufanye hivi;
Rafiki: Unawezaje kuishi na mjinga bila kurumbana?
Mimi: Huwa sibishani na mjinga ,zaidi huwa namjibu kwa mkato tu kuwa NI KWELI UKO SAHIHI.
Rafiki: Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.