Recent content by le padre 2010

  1. L

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    Hahahaaaa mkuu acha tu..same womb lakini vitu tofauti kbsaaa.. Maamuzi ninayo ndio maana natafta msaada.. Najua inavyopaswa kuwa..ndo maana kila leo watu wako makanisani au miskitini wakitatafta kuwa watu bora na wenye kupendeza mbele za watu na Mungu Ko hta na Mimi najua nachotaka ila nahtaji...
  2. L

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    Tafuta mtumishi wa Mungu unayemuamini aweze kukusaidia tofauti na hapo ni ngumu kutoka baadhi ya dhambi zinakosa nguvu mpaka uungame kwa mtu mfano uzinzi Yakobo : Mlango 5 16 Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa...
  3. L

    TB Joshua “Ntaomba nikiwa milimani sitakula hadi adui yetu Corona aondoke”

    This isn't true bhana...hyo maneno kawekewa mdomoni... Sent using Jamii Forums mobile app
  4. L

    Experience yangu ya mapenzi na watu wazima (wamama)

    Hii kitu ni noumaa...nilionja one time..and it took years..kuja kupata affection na wanawake wa umri wangu.. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. L

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    Don't try this..hii kitu ni shida..unaanza kma utani..unakuja kustuka ushadumbukia parefu...inaumiza hii dhambi ni Kama madawa ya kulevya..unaumia ndani lakini umo tu..Leo unaapa ndio mwisho..siku isiyo na jina unarudia tena Sent using Jamii Forums mobile app
  6. L

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    Asante mkuu...nilishajitutumua kipindi cha nyuma...Hadi nikamtaftia mtu moja ya marafiki zangu.. lakini haikufanya kazi.. Huwa hatuwasiliani mara kwa mara...lakini nikukutana nae nashindwa kuishinda nafsi.. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. L

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    Asante Sana mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. L

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    I have tried this before...nlikata means of communication kwa miezi Kama minne ila ilitokea tukakutana kwenye sherehe za mwisho wa mwaka nikaishia kuharibu Mambo asee Sent using Jamii Forums mobile app
  9. L

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    It will be my last day on Earth.. though huwa mpka mda mwingine nataka kumwambia Sent using Jamii Forums mobile app
  10. L

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    Asante mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. L

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    It happens one day alintembelea baada ya Mimi kwenda kumsaidia ucku aliuguliwa na watoto ghafla ucku..so I went to her house and took her to the hospital.. that night. So after two weeks akawa amepita mtaani kwetu akaniuliza kma nipo anisalim coz since that day hatukuwa tumeonana kbsa...
  12. L

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    My wife introduce me to her..Sasa katika kuwa tunasalimia hapa na pale..tukajikuta tumeteleza na kuvuka mipaka... Bt I really want stop for good..mtu mwenye maarifa please wakuu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. L

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    She's so dope and she loves sex...yaani huwa nauchuna..ila Ni Kama mtakuja.. acha tu mkuu.. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. L

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    Daaaah..Sina hta ya kumkarbia nikimfuma Sent using Jamii Forums mobile app
  15. L

    Aliyeshinda huu uraibu anijuze...

    Wakuu natumaini mnaendelea poa na majukum. Niende moja kwa moja kwa kwa yale yanayonisibu. Wakuu mi nimeoa takriban mwaka wa 7 sasa plus miaka ya uchumba na mahusiano it's almost miaka kumi nipo na ndoa yangu. Sasa mwaka juzi nilihamia mkoani kwa uhamisho wa kikazi na kuhamia mkoa X . Huku...
Back
Top Bottom