Recent content by lazima ukae

  1. L

    Wanawake na tabia ya kutusogezea makalio kwenye usafiri wa umma

    Zamani nilijua wanaume ndio tunajisogeza na kusimama nyuma ya wanawake ili tu kugusa makalio yao na sehemu zetu za siri na kuna wanaume ambao walikuwa wanamaliza kabisa haja zao palepale wakati amesimama nyuma ya mwanamke. Siku hizi mambo yamekuwa vice versa ambapo mfano kwenye mabasi ya...
  2. L

    Ushauri: Alinivumilia wakati sina kazi lakini tukaacha nilipokaribia kupata kazi, nimepata mwingine sasa haachi kunisumbua turudiane

    Hili suala sio kwa mwanamke wako tu, wanawake wengi sana huwaga wanavumilia siku chache za mwanzoni kama huna ajira ila baada ya hapo anaanza kukuonyesha red flags.Huyo mwanamke hakufai mana yupo kimaslahi zaidi na siku ukipoteza hiyo kazi ataondoka tena.Ingekua wewe ndo mimi ningemtumia tu huyo...
  3. L

    Kauli ya 'Kata simu kwanza kuna mtu ananipigia' huwa unaichukuliaje?

    Kibusara hutakiwi kumuambia mtu hivyo mana ni kama umemdharau, unaweza kumuambia subiri kdg nakupigia.
  4. L

    Kwanini mtu anayehitaji attention yako akiona humpi anaumia?

    Kumekua na kawaida kwa watu wawili mnapokua kwenye mahusiano ya kimapenzi kuleteana visa vya hapa na pale especially mmoja anapogundua kwamba mwenzake anampenda sana. Mwanamke au mwanaume anapogundua anapendwa sana na mwenzake basi ataanza kumfanyia visa kama vile kutojibu sms zake kwa wakati...
  5. L

    Hatimaye Boss kaoa

    Karma is real
  6. L

    Hatimaye Boss kaoa

    Mimi nina mke watoto wako shule, we endelea kusubiri kujirahisisha kwa mabosi huku umri unaenda ukiamini watakuoa mwishowe wanaishia kukuchezea na kuoa wengine.... Jiulize kwanini bosi kaenda kuoa mwanamke mwingine na sio wewe, hapo ni kwamba kaona wewe ni malata na hufai kuitwa mke.Wewe ni...
  7. L

    Hatimaye Boss kaoa

    Usikute Karma imeanza kufanya kazi kwako mana huenda nawe kuna mchizi ulimzingua sababu ya huyo bosi wako.
  8. L

    Jifanye kidume lakini tambua kwamba ofisini kwa mkeo lazima kuna mwanaume anatoka nae kimapenzi

    We chizi kweli wewe, aliekudanganya nimekuja kutafuta huruma nani ? We kweli unaliwa na mafisi
  9. L

    Jifanye kidume lakini tambua kwamba ofisini kwa mkeo lazima kuna mwanaume anatoka nae kimapenzi

    Tena watu kama nyinyi mnaonyanyua nyanyua mdomo ndo mnachapiwa kwelikweli.
  10. L

    Jifanye kidume lakini tambua kwamba ofisini kwa mkeo lazima kuna mwanaume anatoka nae kimapenzi

    Basi kama kama huna mke huwezi jua haya mambo ya watu wazima, baki na utoto wako.Au mwenzetu kipa katoka ?
Back
Top Bottom