Serikali msipomdhibiti JOSEPH OLESHANGAY mapema basi mjue anakwenda kutengeneza kundi hatari la UASI kwa Jamii ya Wamasai hapa nchini.
Naomba niwatahadharishe Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN na Serikali yako kuwa makini sana na kijana niliyemtaja hapo juu.
Siku za hivi karibuni Wakili huyu...
Mbunge wa Ngorongoro Mhe. Emmanuel Ole Shanghai anadaiwa kujiapisha mwenyewe kuwa Laigwanan, Uapisho uliohudhuriwa na watu takribani ishirini wa familia yake katika sherehe ndogo iliyofanyika nyumbani kwake katika kijiji cha Enduleni kata ya Ngorongoro wilayani Ngorongoro. Baadhi ya viongozi...
Ni Emmanuel Ole Shangai na Joseph Ole Shangai.
Wamasai wamkataa Mbunge wa Ngorongoro Emmanuel Ole Shangai kutaka kujiapisha kuwa Leigwanan.
Bonyeza link chini kusikiliza
SAUTI ZA WAMAASAI WAKIPINGA EMMENUEL OLE SHANGAI KUJIAPISHA ULEIGWANAN
https://www.youtube.com/watch?v=Bx2TDkYrLUc
Na...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida wakati wa kikao cha Tathmini cha maandalizi ya maandamano ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kilichofanyika tarehe 21 February 2024 Jijini Arusha, ugomvi mkubwa uliibuka kati ya aliyewahi kuwa Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema na wajumbe wa kamati...
Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea mnamo tarehe 12 hadi 14 Januari 1964, na yalikuwa harakati za kisiasa zilizosababisha kubadilika kwa utawala na kuanzishwa kwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.
Mapinduzi hayo yalikuwa na muktadha wa kisiasa na kijamii ambapo kulikuwa na mivutano kati ya Waarabu na...
TUMOKINOI MOLLEL SAMAITO (Francis Samaiko - PICHANI) aliwekwa mahabusu kwa kosa la uvunjifu wa amani kwa mujibu wa sheria mnamo tarehe 30/11/2023.
madini ya rubi
Hakuna mgogoro wowote kati ya mmiliki wa leseni (kijiji cha les mundarara) na mwekezaji huyo (northern crystal ruby limited)...
Na Daniel Mbowe (Kilimanjaro)
Hapa kuna baadhi ya viashiria vya kawaida vinavyoweza kupelekea kuanguka kwa chama cha siasa:
Utendaji wa Uchaguzi:
Matokeo duni katika chaguzi, ikiwa ni pamoja na hasara katika kinyang'anyiro muhimu na kupungua kwa kura, inaweza kuwa ishara tosha ya kuzorota kwa...
1. Utangulizi:
Mh. Mwenyekiti na Wajumbe,
Kama wengi wetu tunavyojua Kikosi Kazi cha Mh. Rais kiliundwa tarehe 23 Desemba 2021, kikiwa na wajumbe ishirini na nne (24). Kikosi Kazi kiliwasilisha mapendekezo yake kwa Mh. Rais tarehe Oktoba 21, 2022.
Kikosi kazi kilipitia hadidu za rejea...
Je, Kenya imeweza kutambua kwamba suala hili linaweza kuwa na matokeo tofauti kulingana na walafi wa rasilimali za Afrika na jinsi sera hiyo inavyotekelezwa na serikali inavyoshughulikia masuala ya usalama wa mipaka?
Je, Kenya imejiridhisha juu ya
Kuingia kwa watu wanaotaka kufanya...
Kwa ufupi
Baraza la Mawaziri ni chombo cha serikali kinachosaidia Rais katika kutekeleza majukumu na kufanya maamuzi ya kitaifa. Jukumu la Baraza la Mawaziri linahusisha mambo mengi, ikiwa ni pamoja na kujadili na kufanya maamuzi kuhusu masuala muhimu ya serikali, mipango ya kitaifa, sera, na...
Sheria kadhaa za vyama vya siasa nchini Tanzania zitafanyiwa marekebisho katika mchakato wa kuanzisha Katiba mpya, kwani zimekuwa zikikosolewa na wadau mbalimbali kwa muda mrefu kwa kutokuwa na uwiano, na kuzuia ushindani wa haki kwenye siasa. Sheria hizi ni zipi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.