Recent content by Lazaro Samwel

  1. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Jipatie camera hii kwa bei ya hasara kabisa

    Ni Nikon D5300 (Used) ambayo utapewa ikiwa na lens 2 Lens ya 18-55mm pamoja na Lens ya 50mm MANUAL PRIME LENS Lakini pia utepewa na STAND nzuri BURE kabisa ambayo Dukani huuzwa kwa 150,000/= Upande wa Battery haikai na chaji sana lakini unaweza ibadilisha. Nitakupa pia na chaji ya BATTERY...
  2. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Canon ir2520 mpya au iliyotumika

    Ikiwa unahitaji Camera tofauti na hii unaweza wasiliana nami; Kuna Nikon D5300 na ina lens 2 pamoja na stand camera na lens hazina shida yoyote lakini battery haikai na chaji sana. Hii camera unaweza piga picha nzuri sana lakini pia kwa uchukuaji wa video upo vizuri. Vyote vinauzwa kwa...
  3. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Ulishawahi kukutana na Changamoto kama hii?

    Chukua kitabu usiporidhika nacho utaniambia urudishiwe hela yako
  4. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Ulishawahi kukutana na Changamoto kama hii?

    Nakumbuka mwaka 2014 wakati nafanya biashara ya mtandao na kampuni moja kubwa tuu nilikuwa napata shida sana ya kuweza kuongea na wateja niliokuwa nawapata kupitia simu yangu. Unakuta unapata wateja lakini hakuna mwongozo wa namna ya kuweza kuongea naye kufunga mahesabu. Lakini pia kilichokuwa...
  5. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania Vipingamizi na namna ya kuvijibu

    Umeshawahi kukutana na mteja alafu haujui utaongea naye nini ili uuze kwa wepesi bidhaa yako? ⁣ ⁣ Au umekutana na mteja alafu ukaongea naye kuhusiana na bidhaa yako lakini mwisho wa siku anakwamba “SINA HELA KWA SASAHIVI...” au anakwambia “NITAKUPA JIBU....” au “NAOMBA WIKI NITAKUWA TAYARI...” ⁣...
  6. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania Unawezaje kujua kama unafanya makosa kwenye matangazo yako ya kulipia? (Facebook na Instagram)

    Na wewe huwa unajiuliza swali hili au huwa unaogopa kujiuliza kwasababu unahofia kuona makosa yako? Ukweli ni kwamba wengi swali hili kulifanyia kazi huwa hatutaki kwasababu tunaona tutajiumiza kwa ukweli ambao tutaujua kupitia matangazo ambayo huwa tunayafanya. Kuna njia nyingi sana za kujua...
  7. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya facebook ads manager bila matokeo yoyote ya matangazo yako ya kulipia

    Matangazo unaweza kuyaelekeza yaonekane wapi na kwa watu gani kwenye mtandao wa instagram,hapa unaweza chagua maeneo ya tangazo lako kuonekana mfano Dar,Mwanza,Dodoma n.k na uka-specify watu wa aina gani ambao unawahitaji katika hayo maeneo. Kutumia watu maarufu huwa tunaita Influencer...
  8. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya facebook ads manager bila matokeo yoyote ya matangazo yako ya kulipia

    Mara nyingi kama umeenda kinyume na taratibu za kupost facebook wanakuzuia kufanya matangazo...!
  9. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya facebook ads manager bila matokeo yoyote ya matangazo yako ya kulipia

    Matangazo ya facebook kwa siku kiwango cha chini kabisaa tagazo lako kuwa hewani ni $1 ambayo ni sawa na 2318.83 japo unaweza ongeza bajeti yako zaidi kusudi uweze kufikia watu wengi zaidi. Tangazo lako kuwa hewani itategemeana na bajeti yako ilivyo lakini atleast kuanzia siku 5 tangazo likiwa...
  10. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania Wewe endelea kuwa na fikra hizi maana utaendelea kubaki nyuma kila siku

    Karibu sana ndugu yangu. Ubarikiwe sana
  11. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania Wewe endelea kuwa na fikra hizi maana utaendelea kubaki nyuma kila siku

    [emoji433]Author- Coach Lazaro Samwel Kuna watu mpaka sasahivi hawajui umuhimu wa facebook,instagram,whatsapp n.k kwasababu bado wanajua hii mitandao ya kijamii ni upotezaji wa muda. Kuna mtu anajua mitandao ya kijamii ni kwaajili ya kuonesha maisha yake tuu na kufuatilia maisha ya watu...
  12. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania Unapenda kupata ujuzi huu na wewe uanze kujiingizia kipato kupitia simu/Laptop yako?

    Bakery (Unatengeneza Keki, Mikate, Bites n.k) Network Marketing (Biashara Ya Mtandao) mf; EDMARK, NEOLIFE, BF SUMA, AIM GLOBAL, SUPER-LIFE n.k. Graphics Designing Au biashara yoyote inayohitaji mitandao ya kijamii. Na unapata wakati mgumu wa namna ya kupata wateja wa kutosha kwenye biashara...
  13. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania Unapenda kupata ujuzi huu na wewe uanze kujiingizia kipato kupitia simu/Laptop yako?

    Soma kwa umakini DOCUMENT hii. Kama utakuwa makini na kuna biashara ambazo unazifanya basi inaweza kuwa mwanzo wa kuepuka kuendelea kupoteza fedha zako kujifunza vitu ambavyo havina msaada kwenye biashara yako na kwako mwenyewe binafsi. Document [emoji1484][emoji1484][emoji1484]
  14. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania Unataka kupata hela sawa na washindani wako sokoni?

    Hii Document ina ufafanuzi mzuri sana kuhusiana na swali lako...!
  15. Lazaro Samwel

    JamiiForums Tanzania Usiilaumu biashara yako wala soko kama hauwezi kujibu maswali haya vyema

    Upo sahihi kabisa, kwenye business plan ni muhimu sana lakini pia kuacha kufuata mkumbo ni muhimu pia! [emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Back
Top Bottom