HONGERA JPM KWA KUIKOMBOA BAGAMOYO VINGINEVYO BAGAMOYO INGEGEUKA KUWA CHINA NDOGO.Wakati wa kuirudisha (Baada ya miaka 99).Mambo yanayotokea HongKong yangejirudia kwa Bagamoyo.
Hii hali ya kunyanyapaa watu ni ya asili.(Sipendi kutumia neno kubagua kwani kubagua ni neno zito zaidi) Wanaasili wa Dar wanawanyanyapaa wa mikoani na kuwaita wakuja.Hivyohivyo wakutoka mikoani wanawanyanyapaa na kuwadharau wanaasili wa Dar kuwa ni wavivu.
Walemavu wa aina yoyote...
Corona ni neno la kilatini linalomaanisha taji la mfalme(crown).Virusi hivi vimejivisha taji linalofanana na taji la mfalme.corona virus=virusi vilivyojivisha taji la kifalme
Nilinunua Panasonic viera,flat screen 32”ya Malasia mwaka 2006 hadi leo ni mwendo mdundo.Haijawai kugoma na kwa kutumia flash the app inacheza video format nyingi including MP4
Mungu yupo,lakini kwa vile hizi dini ni mali ya binadamu na si za Mungu,viongozi wake wameshindwa kuwasiliana na Mwenyezi Mungu.Tangu zamani Mungu alikuwa anawasiliana na watu binafsi(mitume na manabii) ambao hawakuwa viongozi wa dini yoyote.Mohamed hakuwa na dini yoyote ya wakati huo, lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.