Jitahidi tu kaka lakini hakikisha ukipata hamu tu usiwaze sana kutiana mpigie simu uongee naye mi nilishawahi kukaa miaka miwili na nusu 2010 mpaka 2012.
Dada yangu hii ndo dunia, kwa mawazo yako nawaonea huruma sana familia siku ukikanyaga miwaya, mwanamme kuacha kukutomba vizuri haimaanishi ana mwingine nje kuna mambo mengi 1.---- yako imetanuka na haimuvutii kama zamani alafu ukitoka nje utakayoiona kubwa inakulidhisha, ukiizoea pia...
Kaka nakupongeza sana kwa kupona inshu hiyo but we unajua vizuri iyo kitu ilivyo serious na secrety kwa wengi so kuku p.m tu haitoshi kwani kuna ubaya gani kutoa maelekezo mazuri ya kumpata dokta kwa urahisi hapo N.N.H au contact zake. Hii ni inshu muhimu kaka tafadhali saidia wengi wapone.
Ni kweli hatuna uhakika kama Anna Makinda ametukanwa, but ninachokiona ni nanna tu anatakaaa wananchi wamuonee huruma yule mama ni mchawi wa maaendeleo ya democrasia ya nchi yetu anataka tuishi kama miaka ya 1950 kama vipi atuoneshe hizo sms nasi tujiridhishe pia anastahili kutukanwa.
Pole sana kaka kwa iyo inshu ya nguvu za kiume, but you are not alone ndo kwa maana iyo na mi nimefunguka so nitapataje info zaidi kuhusu hayo matibabu au taja jina la uyo mtaalam na contact zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.