Recent content by LaVictoria

  1. LaVictoria

    JamiiForums Tanzania Je iPhone iliyokuwa refurbished inafanya kazi vyema?

    a asante sana kaka kwa maelezo yako. shukrani
  2. LaVictoria

    JamiiForums Tanzania Je iPhone iliyokuwa refurbished inafanya kazi vyema?

    wadau ninaomba mnisaidie kwa wale wanaojua, ningependa kufahamu je nikinunua iphone ambayo imeflashiwa (refurbished) inaweza kuperfom kama iphone ambayo haijafanyiwa hivyo? kuna kampuni inauza iphone za aina hiyo link yake ipo hapa chini Refurbished Apple iphone 6 Plus 16GB iOS 8.0 Dual Core...
  3. LaVictoria

    JamiiForums Tanzania MAGIC FM wazidi kumkosea adabu Rais, wagoma kujiunga na matangazo ya ikulu leo

    Wakati redio zote nchini zikijiunga na matangazo ya moja kwa moja yakifanyika ikulu ambapo rais anazungumza na waandishi wa habari, kituo cha Magic fm kimeendelea kumkosea adabu rais kwa kushindwa kujiunga na matangazo ya moja kwa moja. Binafsi nilitegemea redio hiyo ingejiunga ikizingatiwa...
  4. LaVictoria

    JamiiForums Tanzania Channel ten ina watu wenye vipaji vingi inashindwa kuwatumia

    Wakati wa michuano ya Euro 2016 tulishuhudia mchambuzi wa soka wa channel ten George Ambangile akichambua vyema sana, kiufupi jamaa yupo vizuri sana. Pia pale channel ten kuna msomaji wao wa michezo anaitwa Moses Mutente jamaa anaweza sana kuichambua siasa ya kimataifa, niliona anavyochambua...
  5. LaVictoria

    JamiiForums Tanzania TABIBU TV Imeanza vizuri

    Kwa watumiaji wa king'amuzi cha Startimes waliopo mkoa wa Dar es Salaam watakuwa wameiona channel mpya ya TABIBU TV ambayo ipo kwenye majaribio, jamaa wanaonyesha muvi kali na series za ukweli, bado haijajulikana mmiliki wa Tabibu Tv ni nani, wengine wanadai inamilikiwa na Dr Mwaka, lakini...
  6. LaVictoria

    JamiiForums Tanzania Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Hali ya uchumi ni mbaya

    Kwa wale wanaohitaji source nimeiweka chini ya thread
  7. LaVictoria

    JamiiForums Tanzania Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Hali ya uchumi ni mbaya

    a) Taarifa za Benki Kuu zilizopo kwenye tovuti yake (Quarterly Economic Review na Monthly Economic Review) kwa robo ya mwisho ya mwaka 2015 (Oktoba - Desemba 2015 ) zinaonesha kuwa kasi ya ukuaji wa Pato la Taifa ilikuwa 9%. Katika robo ya kwanza ya mwaka 2016 (Januari - Machi 2016) kasi ya...
  8. LaVictoria

    JamiiForums Tanzania Waziri Nape: Nimevifungia vituo viwili vya radio ambavyo ni Radio 5 Arusha na Magic FM ya Dar

    Ninasikiliza magic fm sasahivi badala ya kuwasikia wakina Musa Kipanya na Moses Mutente nasikia ngoma tu zinapigwa, nitawamiss sana hawa vijana walikuwa wanaongoza kipindi vyema sana. Kiukweli kipindi chao cha sundouner huwezi kukifananisha na blah blah za jahazi wala efm. Musa na Moze...
  9. LaVictoria

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda aja na mpya, kuzisaka taasisi zote ambazo hazijaweka picha ya Magufuli kwenye ofisi zao

    Katika kuendeleza uchapakazi wake Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ameibuka na kampeni mpya ya kupita ofisi zote za umma na binafsi ili kukagua taasisi zilizokaidi agizo la kununua na kubandika picha ya Rais wa Tanzania John Magufuli. Ikumbukwe kwamba Serikali ya Tanzania kupitia...
  10. LaVictoria

    JamiiForums Tanzania Kipindi cha nyimbo za injili magic fm kinanikosha sana

    Kwakweli mimi ni mdau mkubwa wa redio ya magic fm hasa kila jumapili ikifika saa 12 hadi 3 asubuhi huwa nafurahishwa sana na kipindi chao cha nyimbo za injili cha shine on kinaendeshwa na moses mutente. Jamaa anajua hasa kupangilia nyimbo za kusifu na kuabudu, pia anapiga zile nyimbo za miaka ya...
  11. LaVictoria

    JamiiForums Tanzania Anna Mghwira apinga baadhi ya wapinzani kususia mwaliko wa CCM Dodoma

    Mwenyekiti wa ACT Tanzania akizungumza live kwenye MAGIC FM asubuhi ya leo ameshangazwa na vyama vya NCCR, CHADEMA, ACT na CUF kususia mwaliko waliopewa na CCM ili kuhudhuria mkutano wa CCM ili kumpitisha Magufuli kuwa mwenyekiti wa CCM. Amesema ni vyema kukataa ujumbe badala ya wito
Back
Top Bottom