LaVictoria
Member
- Jul 23, 2016
- 11
- 79
Kwa watumiaji wa king'amuzi cha Startimes waliopo mkoa wa Dar es Salaam watakuwa wameiona channel mpya ya TABIBU TV ambayo ipo kwenye majaribio, jamaa wanaonyesha muvi kali na series za ukweli, bado haijajulikana mmiliki wa Tabibu Tv ni nani, wengine wanadai inamilikiwa na Dr Mwaka, lakini vyovyote itakavyokuwa jamaa wamefanikiwa sana kuliteka soko la TV za bongo, idadi ya watazamaji imekuwa kubwa sana na imekuwa gumzo kila kona.
Endeleeni namna hiyo hata mtakapoanza kurusha vipindi vyenu
Endeleeni namna hiyo hata mtakapoanza kurusha vipindi vyenu