Recent content by lauzi96

  1. lauzi96

    Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni awaweka ndani Wakandarasi wawili wa Kampuni ya CRJE kwa kuchelewesha mradi

    Kwani mkataba unasemaje akichelewesha mkataba?hyo ya kumuweka ndani iwapo atachelewa kukabidhi kazi ni sehemu ya mkataba?
  2. lauzi96

    MALI: Wanajeshi 24 na wapiganaji wa Jihad 17 wamefarikia katika mapigano

    Wanasema kutafuta support kwa wasioelewa nn maana ya jihad,jihad unapiga iwapo utawala uliyokuwepo unawazuia kuabudu dini yenu ndio mnatakiwa kupambana muwe na haki ya kuabudu mnachokiamini sasa wale bokoharam eti nao wanapigana jihad ukiuliza hawataki elimu ya magharib sasa hyo siyo jihad hila...
  3. lauzi96

    MALI: Wanajeshi 24 na wapiganaji wa Jihad 17 wamefarikia katika mapigano

    Sio kila vita anayopigana muislam ni jihad hizo nyingine watu wanapigana kwa maslahi yao ya duniani wala haihusiani na dini,hila watu kwa ukosefu wa elimu mkiona mtu kashika bunduki kavaa kilemba ishakuwa jihad.
  4. lauzi96

    Pakistani yafanya jaribio la kombora la nyuklia (Nuclear-Capable Ballistic Missile) siku chache baada ya India nayo kufanya jaribio kama hilo

    Kombora km hilo km 650 likipigwa mashariki ya Rwanda linapitiliza hadi magharibi linavuka border nchi ilivyokuwa ndogo
  5. lauzi96

    Shirika la mafuta la Iran limegundua hifadhi mpya yenye kiwango kikubwa cha mafuta

    Hata Tanzania nilisikia kuna mafuta sijui iliishia wapi.
  6. lauzi96

    Kiongozi wa Kikundi cha Jihadi cha Ukanda wa Gaza auawa

    Bora huyo amekufa akiwa anapigania haki na ameuawa na adui aliye dhulumu haki yake .
  7. lauzi96

    Duduzane Zuma, mtoto wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini afikishwa Mahakamani kwa tuhuma za rushwa

    Billion 100 na uwaziri wa fedha halafu jamaa amekataa huyo jamaa kweli mlokole.
  8. lauzi96

    Je, mwanamke uko tayari kumpa pesa mchumba wako akakulipie mahari kwenu?

    Wanaosema hawawezi kumpa mwanaume hela ya mahali wengi mtakuta mna age chini ya 24 subiri mkifisha 33 hata wa kumpa hyo hela akatoe utamkosa.
  9. lauzi96

    USA na mashambulizi ya kutumia Drone

    USA huwa hanaga huruma na raia ambao sio wa nchi yake ile kusema aliacha kushambulia Iran sababu angeua raia wengi niuongo tu alipima maji kaona kina kirfu kageuza,USA ataua hata watu 30 sababu kuna mmoja anamtafuta.
  10. lauzi96

    Jifunze computer programming kwa kiswahili na cybergates

    Fungua hata WhatsApp tuwe tunakulipa kwa program mtu akilipa una muunga kama tulikuwa tunalipa kusoma hadithi tu itakuwa programming.
  11. lauzi96

    Wakati Iran Ikiendelea Kurutubisha Madini Ya Uranium Netanyahu Ameapa Hawataweza Kuwa Na Nyuklia

    Mnapenda kujitoa ufahamu inamaana hujui kama vikwazo vya USA Kwa Iran ni ushawishi wa Israel sababu yy hana cha kumfanya Iran msaada wake ni vikwazo vya USA kuzuia maendeleo ya Iran.
  12. lauzi96

    Wakati Iran Ikiendelea Kurutubisha Madini Ya Uranium Netanyahu Ameapa Hawataweza Kuwa Na Nyuklia

    Kwani anaye hangaika na mwenzie nani yeye Israel anamakombora hadi ya nuclear lakini akisikia wenzake wanafanya hata majaribio ya silaha anakimbilia kwa mume wake USA kulialia maana uwezo yy binafsi kupambana hana bila support.
  13. lauzi96

    Wakati Iran Ikiendelea Kurutubisha Madini Ya Uranium Netanyahu Ameapa Hawataweza Kuwa Na Nyuklia

    Netanyahu atafanya nn?wataishia kuweka vikwazo,kuua wana sayansi na kutuma computer virus hawaendi kushambulia Iran sio Libya.
  14. lauzi96

    Wafuasi 9 wa Khamenei wawekewa vikwazo na Marekani

    Chuki nyingine bhana atamuwekea hata house boy wa khamenei vikwazo.
  15. lauzi96

    GAMBIA: Yahya Jammeh alitutuma tukamuue Mwandishi wa Habari

    Tofauti ya hao wa ulaya na viongozi wa Africa nikuwa wa huku kwetu wanauwa raia wao wenyewe wanawawinda kama swala ingawa yote haikubaliki
Back
Top Bottom