Jaman hz sim za huawei Y300-100 zinasumbua saaaana hadi kero, ukiongea na mtu mawasiliano yavurugika ghafla.we unamskia lakin yeye hakuskii.mwenye kujua mahali ambapo naweza kutenengezewa anisaidie coz naskia cjui hazifanyiwa setting ya tz dats y zinamizengwe..msaada jaman pls!