Recent content by lats

  1. L

    Matokeo:Law School of Tanzania

    Nenda kajionee utapata jibu.hivihivi mtu akikwambia law school ngumu huwezi kumuelewa.utamu wa ngoma ingia ucheze usiskilizie pembeni@ Dingi mchafu
  2. L

    habari njema kwa waliosoma sheria

    Heheheee...ngoja nisapue mie jaman niapishwe na mimi mwezi wa 12.
  3. L

    Eti kujuana ni zaidi ya vyeti vyako na hela zako

    Ongea na watu uvae viatu
  4. L

    Volunteer

    Iyo NGO inahusika na nin?
  5. L

    Walioenda kwenye Interview NHIF

    Insurance n nhif unaelewa nn khs hzo? Diff.btn private hif and social hif.afu diff.btn nhif n community health service.. salient features za nhif...duties n respo...za post ako..benefit package za nhif members n challenges... yanatosha bana
  6. L

    Interview UDOM

    Jaman hao udom ni maandazi sana walisema tar 17 ndo wangetoa majina ya watu waliofaulu written wajiandae kwa oral sasa mpk leo kimya...sasa hicho ni chuo kinachojielewa kweli jaman?
  7. L

    Huawei

    Jaman hz sim za huawei Y300-100 zinasumbua saaaana hadi kero, ukiongea na mtu mawasiliano yavurugika ghafla.we unamskia lakin yeye hakuskii.mwenye kujua mahali ambapo naweza kutenengezewa anisaidie coz naskia cjui hazifanyiwa setting ya tz dats y zinamizengwe..msaada jaman pls!
  8. L

    Angalia Nafasi mpya za Kazi kutoka tume ya Utumishi wa Mahakama

    Aaaah wapi huwez kunifanani na form hata kidgo wewe jiangalie dogo
  9. L

    Angalia Nafasi mpya za Kazi kutoka tume ya Utumishi wa Mahakama

    Mmmmh..hapo sasa wanatakiwa mawakili tu ambao tayari wana cheti cha mafunzo ya sheria kwa vitendo..sasa sisi tuliomaliza law xul na bado tunasubir majibu ina maana tusi ombe hzo nafac au vip?
  10. L

    NHIF: Haya ndiyo maswali ya interview

    Jaman eee embu jifunzen Ku appreciate hata kidogo u never know labda section B utayakuta je..yy katoa kwa waliofanya interview 2012 sio km ndo yy katunga nyie vip..
  11. L

    Msaada kujuzwa zilipo ofisi za nhif

    Ukitokea tabata panda gari za tbt- tandika shuka tandika then tafuta magari yanayoenda kkoo kupitia shimo la udongo then ushuke biashara sawa?maelezo mengine copy hapo juu.hope umenielewa.
  12. L

    Msaada kujuzwa zilipo ofisi za nhif

    Ukitokea ubungo panda gari za mbagala shuka uhasibu vuka barabara then subir magari yanayoenda kkoo kupitia barabara ya shimo la udongo panda hilo gari then shuka kituo kinaitwa biashara ukishuka vuka Barbara upande wa pili utaona majengo yana ranging ya km njano/ orange na damu ya mzee fata iyo...
  13. L

    LL.B 1st class holder

    Mnaponda sana kuhusu tumaini nyie watu ila kwa taarifa yenu ndo chuo kinachotoa watu wazuri kwa sheria nenden law xul muone wanafunz gan wanaongoza kwa kufaulu tena first seating co kwa kusup...chezea nyie.ulizeni maadvocate walioapishwa tar 6/12/2013 wengi product ya tumain.shenzi nyie.hao ud...
  14. L

    Nimekosa interview ya UDOM sababu ya kutokuwa hewani(simu)

    Gatty we uliomba post ip na aman na ww uliomba ipi? Msikate tamaa kaz zenu zipo hata km co udom kuwen tu wavumilivu.mi nimefanya iyo interview post ya hr n admin aisee watu zaid ya mia 4 madarasa mawil post.afu uliza sasa wanataka watu wangapi...acha kabisa aisee.
  15. L

    LL.B 1st class holder

    Yaan nyie mnaongea as if hamuishi tz vile hivi hamjui enzi hz co enzi leo, sasa hv nan anayehangaika na wewe kukutafutia scholarship, serikali ina huo muda? Haya mnasema eti angebaki chuo kufundisha mnadhan kila mtu anawito wa kufundisha? Kuna mtu humu alishapost kuwa ana degree, masters na PhD...
Back
Top Bottom