Recent content by latifu mohamed

  1. L

    Baada ya Ndoa kuvunjika, sheria inasemaje kuhusu matunzo ya mtoto? Ni hiari au ni lazima Wazazi kutunza watoto?

    Mabinti wamefanya swala la ngono kama kitu cha kawaida tu wakati zamani unatongoza binti unafuatilia miezi sita mpaka mwaka mmoja bila kufanya dating kwa sasa ukigusa siku ya kwanza siku ya pili walete.
  2. L

    Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Sisi bukoba ukiwa single mother jipange kuolewa na mwanaume aliyefiwa na mke wake au mwanaume aluyetalakiana na mke wake.
  3. L

    Matumizi ya CCTV camera Tanzania na uvunjifu wa haki ya faragha

    soma ibara ya 16 ibara ndogo ya 2 ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania ya1977. inajibu kahuri yako.
  4. L

    Matumizi ya CCTV camera Tanzania na uvunjifu wa haki ya faragha

    sheria lazima iweke mamlaka ambayo itakuwa inasimamia hizo camera
  5. L

    Matumizi ya CCTV camera Tanzania na uvunjifu wa haki ya faragha

    siyo kuzichukia tunacho shawishi ni kuwepo na sheria ambayo itaweza kulinda hazi za pande zote mbili.
  6. L

    Matumizi ya CCTV camera Tanzania na uvunjifu wa haki ya faragha

    lazima tujue zinahifadhiwa kwa njia ipi na mtu akiziitaji utaratibu gani aweze kufuaata ambao umewekwa kisheria.
  7. L

    Matumizi ya CCTV camera Tanzania na uvunjifu wa haki ya faragha

    usiamini sana ukienda maeneo hayo unaweza kukuta wanafanya hivyo maana hakuna sheria ya kuweka mipaka ya kutumia hizo camera.
  8. L

    Matumizi ya CCTV camera Tanzania na uvunjifu wa haki ya faragha

    sipingi tunataka sheria ambayo itataja maeneo ambayo hizo camera zinatakiwa kufungwa siyo kila mtu anafunga anavyo jisikia.
  9. L

    Matumizi ya CCTV camera Tanzania na uvunjifu wa haki ya faragha

    sawa zimefungwa kwenye coridor unajua baada ya hizo kurekodiwa hakuna mtu anayejua hizo taarifa zinapelekwa wapi na zinahifadhiwa kwa mda gani Tunataka sheria ambayo itatupa muongozo.
  10. L

    Matumizi ya CCTV camera Tanzania na uvunjifu wa haki ya faragha

    kutumika zitumike lakini tuwe na sheria ambayo itatengeneza mazingira mazuri matumizi ya hizo camera.
  11. L

    Matumizi ya CCTV camera Tanzania na uvunjifu wa haki ya faragha

    tunataka kuwepo na sheria ambayo itatoa taratibu na adhabu kwa mtu atakaye funga camera na kuzitumia kinyuma na matakwa ya sheria.
Back
Top Bottom