Salama wanajamvi,
Sitaki kuandika mengi sana ila wakulima wa nchi hii wanapitia mengi sana magumu hasa kutokana na ukosefu wa taarifa sahihi na utaalamu , basi ngoja niwaletee stori ambayo nimeitoa kwenye group Moja la WhatsApp kuhusu kilimo cha Vanilla je ni kweli? Kila mmoja adondoshe...
Katiba yenyewe ya ccm inaeleza wazi kuhusu Utu , ila huyu jamaa alivuka viwango na pia media zetu hazina uadilifu kabisaa zikawa zina report ujinga ule
Hongera sana mama , pole sana na msiba huu mzito , ya kwangu ni machache tuu
1. Kuendeleza miradi ya kimkakati na kuacha miradi isiyo ya kimkakati
2. Katibakatiba katiba katiba mpyaaaa
3.elimu elimu elimu hasa elimu ya juu iwe na ubora
Hii habari ni ya kweli , kutokana na namna tunavyohifadhi mahindi yetu bila kufuata kanuni nzuri , aflatoxin au kwa kiswahili Sumu kuvu ni Sumu ambayo kutokana na aina flani ya fungus (Aspergillus flavus and Aspergillus parasiticus) ambao hukua pole pole kwenye nafaka na nuts ambazo...
BIASHARA YA TOOTHPICK , Namna ambavyo Charles Forster aliweza kuwa millionaire .
Kutoka kwenye mji wa Boston Marekani mwaka 1826 alizaliwa kijana Charles Forster ambae alikuwa na kuanza kufanya Kazi na mjomba wake aliekuwa aagiza na kuuza mizigo Brazil kutokea marekani
Miaka ya 1700's watawa...
Kwa muda mrefu tumekuwa tukishughudia wakulima wengi wa greenhouse wakipata hasara au kutokupata mavuno bora kama walivyotegemea, kuendelea kutumia madawa ya kuuwa wadudu kwa kiasi kikubwa kama wanalima nje, joto kuwa kali ndani ya banda na kuharibu mazao, yaani wengi wamekata tamaa na...
Ziko sprayer za aina nyingi kulingana na mahitahitaji yako , ziko zenye ujazo wa lita 15 ambazo huuzwa 45,000 hapa morogoro , pia zipo ambazo zinaendeshwa na engine tunauza shilingi 450,000, karibu sana 0763347985
Yapo masoko mengi ya bidhaa za hapa ndani huko nje lakini bado tunashindwa kufanya biashara za export tunazidiwa na Kenya, Uganda na sasa hata Rwanda wametuzidi,
Sababu kubwa ya kwanza kwa sasa ni connection
Still watz wana connection ndogo na masoko ya nje, hatuendi kwenye exbihition, hatuko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.