Unatakiwa upulize dawa ya wadudu wakati wa maua, hao wadudu Huwa wanaacha mayai yao kwenye maua then tunda linapojitengeneza mayai yanajiangua, larva ndo waharibifu wanaweka matobo na vidonda hivo wanapunguza quality, spray insecticide wakati wa maua
Hapa inaonesha ulipanda bila mbolea au shamba linatuamisha maji sana, hii rangi ya dhambarau inaonesha upungufu mkubwa wa phosphorus P, ambayo inapatkana kwenye mbolea kama DAP, TSP, MINJINGU, NPK &NPS
Elimu nzuri sana hii, ila ni vema kuelekezana mapungufu ya mbegu husika pia, binafsi Kwa uzoefu wangu mbegu tembo 719 ni mbegu nzuri sana Kwa ukanda wote wa kusini lakini inakumbwa na tatizo la kuoza juu, hii inafanya wakulima wengi kupendelea pan 691, pamoja na DK777
Profession: farm manager
Education: bacheiof science in Agronomy
Experience:fresh graduate
Location: morogoro
Other additional profession : Data analysis, field surveying and soil sampling, field layouts
Wadudu hatari Kwa mahindi ni lava ambao badae hugeuka vipepeo na wakikuwa vizuri wanataga mayai na kuendeleza tatizo
-lava Hawa wamegawanyika Kuna lava kama weupe hivi (stalk borers), wengine wanakuwa na rangi kama ya pink hivi(pink stalk borers) na wengine ni wale wanamadoa meusi au kijani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.