Pitisheni Sheria hii haraka sisi huku tunasubiri haraka....shs 340,000 kwa mwaka kwa watu 6? nini nini kwa afya zetu ? mbona huku sisi tunapiga kinywaji , pombe za kienyeji, harusi, na michango makanisani zaidi ya hiyo 340000
Sioni sbb ya kulaumu hapa. Uongozi wa Utumishi wa Umma kuna kupanda na kushuka..bila kususia. Soma historia za Akina Hayati Kawawa,.... mhe Msuya, Malecela ambao walipanda na kushuka na kuendelea kutumikia Wananchi pale walipopangiwa.
Nyie watoto wa shule za Kata na utandawazi mna matatizo sana.
Matendo ya utumishi wa Hayati JPM ni wazi yanastahili kumuweka katika ukurasa wa Mwenye Heri na pengine kuwa Mtakatifu..
Angalia alivokuwa Mchamungu, mzalendo, mwajibikaji, mwenye huruma na aliyejali Masikini na aliyeleta maendeleo kwa muda mfupi.
Anaondoka bila kunyonga wafungwa, kapewa...
Watu wengine bana.. Hivi wamelegea nini.. ????
Hujui kile Rais aliagiza? nyie wapotoshaji mna laana ya mungu. Tuwaache watalaamu wafanye kazi kazi ya uchunguzi na ushauri.
Nyie wabishi mnaosubiri Jina hilo... Ngoja iwatandike ndo mtajua umuhimu wa kuchukua tahadhari. Ujumbe unaeleweka prof... waache ufipa kama wao hawataki mungu atawaadhibu.
Wewe mtu UMELOGWA...unajianika ignorance yako. Hivi hujui Baadhi ya Cancer kama ya tumbo na kikazi zinasababishwa na infections ambao kama chanjo ingekuwepo watu wasingepata? Uelewa wako mdogo zaidi ya kunidhalilisha. JPM yuko vzr .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.