Katika hili jiwe atakumbukwa sanaAugust 2021: " Serikali imesema watakaoruhusiwa wale waliochanjwa tu hawatavaa barakoa"
December 2021: " Serikali imesema ni lazima kila mTanzania achanjwe"
February 2022: " Serikali imesema Ili kuzuia kirusi cha Corona aina ya Gamma ,kila mTanzania yabidi aongezewe chanjo ya ziada"
April 2022: " Serikali imetangaza kuweka nchi yote ya Tanzania kwenye lockdown ila kuzuiwa maambukizi ya virusi vya korona"
Rinse and repeat
hahahahahaAugust 2021: " Serikali imesema watakaoruhusiwa wale waliochanjwa tu hawatavaa barakoa"
December 2021: " Serikali imesema ni lazima kila mTanzania achanjwe"
February 2022: " Serikali imesema Ili kuzuia kirusi cha Corona aina ya Gamma ,kila mTanzania yabidi aongezewe chanjo ya ziada"
April 2022: " Serikali imetangaza kuweka nchi yote ya Tanzania kwenye lockdown ila kuzuiwa maambukizi ya virusi vya korona"
Rinse and repeat
Chukua wewe hizo tahadhari, unafikiri wote tumejaa matope kwa kichwa?Wananchi na sisi kuchukua hatua ni mpaka serikali iingilie kati?
Amkumbuke nani!Katika hili jiwe atakumbukwa sana
Gaidi Mbowe yupo chini ya ulinzi salama wa Polisi, nchi nzima imetulia hakuna matukio ya ajabu ajabu kama Uamsho walivyowekwa sehemu salama na Zenji ikatulia.
May 2022August 2021: " Serikali imesema watakaoruhusiwa wale waliochanjwa tu hawatavaa barakoa"
December 2021: " Serikali imesema ni lazima kila mTanzania achanjwe"
February 2022: " Serikali imesema Ili kuzuia kirusi cha Corona aina ya Gamma ,kila mTanzania yabidi aongezewe chanjo ya ziada"
April 2022: " Serikali imetangaza kuweka nchi yote ya Tanzania kwenye lockdown ila kuzuia maambukizi ya virusi vya korona"
Rinse and repeat
TouchèMay 2022
KingCobra95 afariki dunia kwa changamoto ya upumuaji
A disgrace is you.this lady is a disgrace to our nation