Recent content by Larry barrice

  1. Larry barrice

    JamiiForums Tanzania Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

    Kuna nn....mbona haraka hivyo?
  2. Larry barrice

    JamiiForums Tanzania Yuko wapi Magdalena Mayanka Chami, kipanga wa Holly Family Girls Sec School

    Yuko wapi Madgalena Mayanka Chami, msichana mwenye akili sana pale holy familiy girls sec school. Alikuwa anawakimbiza hadi wachina na wahindi mbaya mbovu. Masomo yote hajawahi pata chini ya A
  3. Larry barrice

    JamiiForums Tanzania Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

    Itatokea tu kama chenge akiwa speaker...... Samahani nimevujisha mchongo.....msimkate bana
  4. Larry barrice

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nairobi: The City in the sun

    xzs,sadsSz,s,ssdstze,dddaeez
  5. Larry barrice

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nairobi: The City in the sun

    xzs,sadsSz,s
  6. Larry barrice

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

    Punguza ujuha na ww mbona mnakuwa kama mipumbavu.....huko ni kwenye chama chao sio bungeni....
  7. Larry barrice

    JamiiForums Tanzania Mpina aibukia Zanzibar kuchukua fomu kuwania Uspika, azuru kaburi la hayati Sheikh Abeid Amani Karume

    Hata mm nimemkubali....anazo agenda nzitonzito.....ila nina mashaka kama kwenye kamati kuu atapitishwa
  8. Larry barrice

    JamiiForums Tanzania Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya

    Hata mm hili nililiona toka zamani.....maana hatuoni kama wakristo wanatuandaa vijana.....juma aweso kakoso ......ni nani sasa mwenye moto kama wa magu?
  9. Larry barrice

    JamiiForums Tanzania Nchi inapoongozwa na aliyeko nyumbani, na aliyeko ofisini hajui cha kufanya

    Alooo baada ya miaka 10, ndio umeibuka tena? Mwelekeo ni bora tuujue tu sasahivi...24 mbali sana
  10. Larry barrice

    JamiiForums Tanzania Simu gani itanifaa Kwa laki tatu na nusu

    Iwe multitask kwa muda mrefu....kuscan...kudownload big files and videos...iweze kusupport android brouwse nyingi....
  11. Larry barrice

    JamiiForums Tanzania Simu gani itanifaa Kwa laki tatu na nusu

    Hata mm natafuta simu nzuri.... Ambayo haistuck kijinga....haumudu kufanya vitu kwenye internet muda mrefu ni kuchemka tuuuu....jinga sana...iwe na uwezo kwenye internet
  12. Larry barrice

    JamiiForums Tanzania Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

    Hahahaha ety tandabuhi....mbona hata ma co wanazalisha
  13. Larry barrice

    JamiiForums Tanzania Nyerere, Okello, Jumbe, Shivj na Kifo cha Karume: Nani alimuua Karume?

    Kumbe hawa wazee walikuwa na akili ndogo kiasi hiki
  14. Larry barrice

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Demokrasia ni kuheshimu Sheria, heshima ya Mtu inakuja kwa kuheshimu Sheria za Nchi, ombi la Zitto kuhusu kesi ya Mbowe lajibiwa

    Ww mirungi ya arusha inakuharibu akili....hivi ww unajiona ulikuwa na akili kuliko magufuli mpaka umuite tahira? Huna credibility yoyote ya kusikilizwa kwa kichwa chako kichafu hivi......yaan ww mi mchaga wa hovyo sana
  15. Larry barrice

    JamiiForums Tanzania Nimeugua ugonjwa wa zinaa ambao hauponi na aliyenipa yuko fresh

    Safi .....sasa atachoma pena duu
Back
Top Bottom