Too sad sasa kuna hawa wanajiita mashoga mikazo hawa huwezi wajua lakin wapo wengi kuliko hawa wenye girlish behavior...unakuta limwanaume limekaza kijeba mpaka una sema kidume si hiki halafu unakuta linakuomba ulikaze au unagundua wanalikaza.
Wazanzibar hawawezi andamana haswa kipindi hichi bcoz Rais wa muungano katoka kwao, so now their good, halafu mmeenda Zanzibar wakuu kwanza? Kule kumenoga! Zanzibar inajengwa now, si Zanzibar ile, mambo mazuri huko, Marais wanao na wanatamba nao 😂
Hakuna njia moja kila aliyefanikiwa basi kafanikiwa kwa namna yake, so huwezi pata jibu la moja kwa moja hapa, kama wakijitokeza kukuambia lakin. Ujue tu kwamba Kuna aliyefanikiwa kwa halali na mengine kwa haramu. Hii inaweza kuwa kwa biashara (mbalimbali) au kwa ajila (pia tofauti tofauti) so...
Too bad mda mwingine unaweza kuwa na mtu na akashindwa kukutawaza vile vile.
Ni kweli lakin pia unaweza zeeka na mtu yupo na ukakosa matunzo vile vile tena mda mwingine ukiwa na mtu ambaye sio sahihi anaweza kuwapa sumu mpaka watoto mliowazaa wenyewe nao wakakutenga kwasabab wanazozijua wao...
Asante kwa ku share nasi...sikua najua ntaanza kufuatilia nikiwa nanunua.
Pia nje kidogo ya mada, me huwa najiulizaga kwanini tunatumia neno "kupiga mswaki" badala ya either "kusafisha meno" au "kusugua meno"
au wengine huwasikia wakiita "dawa ya mswaki" badala dawa ya "dawa ya meno"
Sema sasa, tukisema kila mwezi ndo mtu alipe mbona itakua balaa, bcoz kutakua na usumbufu pande zote mbili, mpangaji na mpangishaji, imagine kila mwezi uamze kumkumbusha mpangaji alipe Kodi halafu anze na usumbufu juu,
Fikiria kila mwisho wa mwezi mwenyenyumba huyu hapa 😁 itakua noma sana...
Kuna mdau ameniomba nimuulize humu. Anataka kufanya biashara ya mapochi (purse or handbag)
So anataka kujua kama wapo wanaofanya je:-
1) Soko likoje?
2) Aina Gani ya ma bag yanapendwa sana na wadada au wamama
3) Je, wap anaweza nunua mzigo hapa Tanzania awe anauza?
4) Mtaji wa shilling ngap...
Nachopendea jamiiforum ni kwamba tunakukutana na watu tofauti tofauti (diverse people) pia inaweza kutufanya kujua mawazo na akili za wengine katika kufikiria Mambo
Huyu nae yupo sawa tu kwa mawazo yake lakin, na wengine watakao kubaliana nae
Jamani watu wanamatatizo, Tena wengine ni makubwa sana. Kwa hiyo nahisi watu wanatafuta faraja popote ilipo haijarishi ni wapi, iwe kwa mwamposa, ngwajima ama yoyote yule ama popote pale hata iwe kwa waganga, kwa hiyo mtu akipata pakujifariji na kujipa hope mambo yatakaa sawa ama kama ni ugojwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.