Habari za majukumu ndugu zangu. Ninatafuta suluhisho la kudumu la miti midogo yenye miiba shambani. Hii mimea imekuwa kero kubwa kwangu kwani kila nikipanda shamba, hiyo miiba huchipua.
Hata ung'oe mizizi yake, bado hujiotea tena. Kwa mwenye uzoefu wa kutatua tatizo hili la kilimo naombeni...
Kwani Engineer ni mwalimu? Kuna mkanganyiko. Wakati wa kujaza taarifa za ajira, baadhi ya maafisa utumishi wamesema sehemu ya mshahara iachwe kwanza. Wengine wamejaza TGTS D wengine E.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.