Habari I za muda huu, Nimependa Sana Uzi huu, nami ombi langu Kama Kuna mtu Mwenye soft copy ya vitabu vya darasa la pili vyote, Aweke
Asante I [emoji120]
Nakubaliana Na Wewe Ila Bado Nina Swali Kwani Katiba inasemaje? Me Bado sijafaham, endapo hatukubaliani na Mambo yanayofanywa na viongozi, Ni njia ipi ya kufanya Ili kuwaonesha Kuwa wapo kinyume na sisi? Ni kwa kuandamana au Kuna njia Nyingine mbadala?
Kama Kwa kuandamana Tunaweza pata haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.