Recent content by lan matiri

  1. L

    Rais Magufuli Unasababisha Chuki na Uchochezi Dhidi ya Wachaga

    Leo nilikuwa sijacheka asante nimeongeza uhai Sent using Jamii Forums mobile app
  2. L

    Kauli ya mbunge Sugu kwamba CCM inachukua watu "Wajinga wajinga" kutoka CHADEMA siyo ya kiungwana

    Yaani kama malaya malaya (macenaries) Sent using Jamii Forums mobile app
  3. L

    Simple equation inayoitesa CCM na Taifa

    Lakini ujue huwezi ondoa takwa la mabadiliko ndani ya mioyo ya wananchi yatachelewa lakini yatakuja tu,muda hakimu mzuri. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. L

    Mashinji kwenda CCM ni janga la kisiasa kwa aliempigania kuwa katibu mkuu wa CHADEMA

    Dr unaandika haya kama huoni ccm imebana uhuru wa kujieleza,kwahiyo angalau wenye uthubutu wa kusema bila woga Zito,Mbowe, Mbati na Mzee Rungwe waendelee kuongoza vyama hivyo kuliko mapandikizi wa ccm unategemea nini kwenye uwanja usio sawa? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. L

    Msimamo Rasmi: Wakati Umefika kwa Freeman Mbowe (MB) Kujiuzulu; na Sekretariati Yake...

    Kuna TLP,CUF,UDP nk hamvioni mnaona CDM mtatapatapa sana,haijuzulu wala nini,tena tunabadilisha katiba awe wa kudumu tuone sasa,wachumia tumbo tu ninyi. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. L

    Zoezi la uboreshaji daftari la wapiga kura linapita kimyakimya, je upinzani wameshakata tamaa?

    Kwani ccm hawahitaji wapiga kura au wao wanao tayari mfukoni? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. L

    Zoezi la uboreshaji daftari la wapiga kura linapita kimyakimya, je upinzani wameshakata tamaa?

    Wewe unataka upinzani upi ufanye hamasa Hamasisha wewe huku mtandaoni kwani umekatazwa?kwani upinzani ndio wanataka wapiga kura peke yao? Sent using Jamii Forums mobile app
  8. L

    Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe ajivua uanachama wa CHADEMA na kujiunga CCM

    Ninakubaliana na wewe sababu alizotoa ni za kitoto kama alikotoka kuna demokrasia mbona alibwagwa kura za maoni akakimbia?Sifuri kabisa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. L

    Kauli ya Hussein Bashe, "Kama huwezi kununua unga nunua mchele" Vs "If there is no bread let them eat cake"

    Sidhani kama atakuelewa maana ameuliza kishabiki sana,yaani ufahamu wake upo chini ya wastani. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. L

    Uchaga na ukabila hautusaidii, tujifunze sisi watu wa Kanda ya ziwa

    Nikusahihishe shule ya sekondari Lyamungo ilijengwa na chama cha ushirika KNCU na sio wakoloni,wachaga waliona mbali siku nyingi. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. L

    Ujumbe maalum wa tahadhari kwa Maaskofu na waumini wa KKKT

    Hivi kwanini KKKT inawaumiza sana au kwa vile inaongozwa na Dr.Shoo msiemtaka? Ameshakuwa sasa subiri miaka 4 iishe,ila Mungu ni mwema atatuinulia mwingine zaidi ya Dr Shoo kwa msimamo. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. L

    Walinzi waeleza mwanzo mwisho walivyomsaidia Mo Dewji usiku baada ya kuachiwa na watekaji

    Write your reply...Mmmh...haya tumesoma tayari.
  13. L

    Askofu: Serikali ya CCM ilikabidhiwa kwa mizimu wakati wa Uhuru na Nyerere

    Write your reply...Kila mwaka yanafanyika maombi ya kitaifa,je wanamaombi hawajaweza kujua kama Tanzania tunayo shida?Maana katika maombi ukiwa katika ulimwengu wa roho unaonyeshwa yakupasayo kuyaombea.
  14. L

    Mara ya kwanza mgombea yuleyule kupata kura mara mbili ya kura za uchaguzi mkuu kwenye uchaguzi mdogo

    Write your reply...Ninashangaa kwa hila hii inasimamiwa na mtu mwenye wadhifa wa Ujaji ni aibu sana
  15. L

    Nguvu kutoka juu inawasambaratisha wenyeviti wa kamati za bunge. Bunge sasa ni joka la kibisa

    Write your reply...Kama jasiri aweke hadhara ni kwa wananchi kilichosababisha ajuzulu
Back
Top Bottom